Binti amkataa Baba mlezi siku ya Harusi, ampa heshima zaidi Baba mzazi.

Inasikitisha sana.
 
Ndio ujue uchawi upo!
 
Iwe ajari isiwe ajari Baba ni Baba tu Binti kafanya sahihi kumpa heshima Baba yake wa kumzaa hapo ata Mungu atambariki kwenye ndoa yake
 
Yule aliyeachwa na yule msanii shilole si mkewe anasema alikuwa anamwachia pesa mezani? Sasa kwenye harusi kati yake na aliyetungisha mimba nani ana uzito?
Sijaelewa kwa hio unazungumzia Mario's au?
 

Hii ndoa sijui
 
Umeongea point kubwa sana. Iwapo mchakato wa mahari ulifanywa na baba mlezi hata muoaji angeomba kumtambua ili vita ianze kabla honeymoon haijaanza.
 
Mm naamini sana kwny Karma, baba mlezi yy atulie tu atapata majibu.
 
Sijaelewa kwa hio unazungumzia Mario's au?
Wapo mkuu na huwa wanazeeka pia, wamekaa hapo wanalishwa mpaka uzee kinachowalinda ni woga wa binti kufikiri jamii itamuonaje wakiachana.
 
Ni haki yake kudharauliwa si ni boya ye alioaje mke wa mtu aliemkuta na mtoto tayari iwe funzo kwa mafala wote
 
Nahisi bro hujui tu. Utakuta mama alikuwa anapokea kila kitu cha kumhudumia mzee ila akaamua kuendelea kumtegemea baba wa kambo. Siku hizi watoto wanaweza kuwa mtaji ujue
 
Nahisi bro hujui tu. Utakuta mama alikuwa anapokea kila kitu cha kumhudumia mzee ila akaamua kuendelea kumtegemea baba wa kambo. Siku hizi watoto wanaweza kuwa mtaji ujue
Umemaliza kila kitu yani kwakifupi uyo binti alikua ana hudumiwa na Baba yake mzazi na wanawasiliana vizuri tu bila shida ila Mama ake akawa hasemi kwa Baba mlezi
 
Ukiona ivyo ujue kabisa binti alikua ana hudumiwa na Baba yake nyuma ya camera zenu kwaio tulia
Baba Fala sio Baba labda Mama kacheza fyongo kwa hio sioni ajabu Ila Baba Mlezi ilibidi asikanyage hio harusi apambane na hali yake single mother kipengele kingine
 
Wapo binadam wa hivyo...na Wana njia za kujifariji. MKE .....NI hatar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…