Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Kama haya maelezo ni sahihi,basi huyu Binti na mama yake ni Malaya...hivi Binti muoga atanwambiaje mama yake nimeliwa jicho ..wakati anasuguliwa kisimi mbona hakusema!😁
Lakini hiyo ,tisa ,kumi.... Nawanda ni mzembe sana! Sana! Sana!
Kama unawalea watoto wako kwa kutowafanya wasiri wako basi wewe ni janga la kitaifa,ulitaka huyo binti aje kuniambia mimi? Mtoto lazima umlee kati hali ambayo atatambua kuwa Baba/Mama nikila kitu,nikipatwa na tatizo hao ndo wasiri wangu.
 
Jamaa nae fala sana pisi yenyewee mbovuuu yaan bora angepiteza cheo kwenye pisi kaliiii au kwa sababu kalikua kanampa tope
ukisikiliza binti, inaonyesha walikuwa wanafanya kawaida, siku alivyomwomba uchafu, ndio kakampiga chini, na siku waliyokutana pale rockcity mall, alijifanya kaje akaombe msamaha.

nionavyo mimi, hii ilikuwa tabia yake, huyu jamaa alikuwa mwalimu wa wanafunzi mzumbe, lecturer, atakuwa amewaingiza wanafunzi wangapi huko mzumbe kwenye ulawiti ili wapate marks? ameteuliwa ukuu wa mkoa, akaamua kwenda st.augustine kutafuta vianafunzi vya kulawiti kwasababu access ya wanafunzi wa mzumbe alikukuwa amezoea haipo tena.

hawa waalimu wa vyuo ni wa kuaanglaia kwa jicho jingine. mliosoma mzumbe tuambieni tabia za huyu mfiraji.
 
huu ni ukatili wa kijinsia pole sana Binti kupitia wewe mabinti wengine watajifunza tabia ya kuwa na mahusiano na watu wenye umri kama wa baba yao ambao inapelekea kufanyiwa vitendo vya ukatili kama huu
Kumshtaki huyo RC ni kumuonea.

Huho binti ataendelea kuliwa tigo kwa miaka mingi ijayo kwa sababu ni tabia yake. Sanasana u.rmri ukienda utasikia kuwa aneokoka na kutangaza kutafuta mume anayejitambua , awe na hofu ya Mungu na bla bla zingine na mmoja wax wale wanaume wajinga atanasa.
 
kwanini unasema huyo binti ni tabia yake? wewe huwa unaliwa tigo?
 
huu ni ukatili wa kijinsia pole sana Binti kupitia wewe mabinti wengine watajifunza tabia ya kuwa na mahusiano na watu wenye umri kama wa baba yao ambao inapelekea kufanyiwa vitendo vya ukatili kama huu
Kafanyiwa ukatili gani ? Nyie ndio mnawaaribu kwa upumbav wenu wa kujidai mna huruma
Asa mwenyewe anasema walikua wapenzi kwa miezi 6
Huyo bint ni malaya na mdangaji kama wengine na hio huduma ya marinda inaonyesha alitoa ili kumchanganya RC ili azid pata anachotka ..pesaaa
 

kuna kesi mbili hapo.

1. Kumuingilia kinyume na maumbile.

2. Kumlazimisha au kutumia nguvu kufanya tendo hilo.

RC anatakiwa kuja na USHAHIDI kwamba hakufanya kitendo hicho.
 
Yaani usumbuliwe sumbuliwe kwenye gari mpaka uhamie kiti cha nyuma cha gari na marinda unayaachia tu ndani ya gari huyu hakupewa Dau lake ila.marinda alitoa Kwa hiari Yake na mama Yake ni Aina ya wazazi wanaojua biashara za watoto Wao 🚮🚮🚮
 
hata malaya akiingiliwa kinyume na maumbile ni kosa la jinai. pia, unaongea kama wewe, RC na binti mlikuwa pamoja mle kwenye gari na wewe na binti nyote mliingiliwa kinyume na maumbile, wewe ni mzoefu na unamjua mzoefu mwenzio huyo binti ndio maana unaongea kwa uhakika hivyo. unachotakiwa kujua ni kwamba, binti hakuwa malaya, alikuwa kama mabinti wengine wowote tu wa chuo. hata kama wanafanya uzinzi, hawastahili kulawitiwa. ulawiti ni kosa, 30 years in prison. wewe kama ni kijana wa rc umetumwa ili kuonyesha binti ni malaya asisikilizwe, napenda kukueleza kwamba mkuu wako ana kesi kubwa sana, na atafungwa soon kwasababu kati ya kesi zenye ushahidi mwingi hii ni moja wapo, hapo alipo hana uwezo kwenda bank kufuta bank statement ya hela aliyomtumia mamake 3m, haifutiki, cctv footage pia zipo, ushaidi wa binti upo, kwanini asifungwe? watamtoa kafara tu na uchaguzi huu wa mwakani maccm huwa mnarukana.
 
kuna kesi mbili hapo.

1. Kumuingilia kinyume na maumbile.

2. Kumlazimisha au kutumia nguvu kufanya tendo hilo.

RC anatakiwa kuja na USHAHIDI kwamba hakufanya kitendo hicho.
bro, mimi ni lawyer. ana kesi mbili tu, nazo ni:

1. kumwingilia binti kinyume na maumbile, hiyo haijalishi kwa ridhaa au kwa lazima.

2. kutoa rushwa. binti anasema jamaa alideposit 3m kwenye account ya mama, anatakiwa aulizwe hiyo hela aliiweka ya nini kama sio kutoa rushwa jambo liishe? na kwa bahati mbaya, pesa ukishaweka bank mifumo yao ni ngumu ku-alter/kubalisha. huwezi kufuta kitu cha kwenye mfumo, hivyo kwenye account ya mama pesa inasoma,labda kama hakuandika imetoka kwake. na wakienda voda watakuta kuna masimu kibao alikuwa anampigia binti, mama na rafiki zake, na si ukute alituma na msg, zote hizo ni maushahidi.
 
Wanawake ni pasua kichwa ajabu wakaungana kumrarua Makonda kisa tu kasema ana mke mzuri kuliko yule dada.
 
mimi nilikuwa nashangaa, mkuu wa mkoa wa mwanza naye anaonekana kiburi na haeleweki, kumbe alikuwa anataka kuificha? huyu naye aondolewe akalime tu. huyu mkuu wa mkoa wa mwanza angekuwa amelawitiwa binti yake angekubali?

Nyie ndio wale wa kupewa picha habari nzima mnaitunga
 
Wanawake ni pasua kichwa ajabu wakaungana kumrarua Makonda kisa tu kasema ana mke mzuri kuliko yule dada.
and in reality, mke wa bashite sio mzuri kuliko yule dada. na hasa ukizingatia ametoka jamii inayokeketa. hakustahili kumdharau yule dada vile, labda tuseme ulimi uliteleza tu na anavyokuwaga hana uwezo mzuri wa kufikiri kabla ya kuongea.
 

..account ya mama wa huyo binti RC ameijuaje?

..RC, binti, na Mama, walikuwa wanajuana?
 
Mtoto mdogo angeweza kutembea na baba Ake ,
 
Hawa inaelekea walikuwa wako kwenye mahusiano kitambo sana
Kama jicho washapeana sana
Vototo vya chuo vinatamaa sana
Tatizo,dodoma hapo si tunawaonaga pia
Si ajabu ada ya chuo huyo rc alikuwa ananlipia

Ova
Ndio life yao hao wadada wa Chuo wengi wao wako hivo alaf mijitu inatokea kusikitika kama mtu kabakwa kumbe ni umalaya wake
 
..account ya mama wa huyo binti RC ameijuaje?

..RC, binti, na Mama, walikuwa wanajuana?
RC hata sasaivi akitaka kujua account yako anaipata. RC ni Mkuu wa MKoa, mwenyekiti wa ulinzi na usalama mkoa, polisi ni wake, TISS mkoa ni wake, na pia kumbuka alishatuma watu kibao kwa mama, watu wa karibu ili wabembeleze, watakuwa walipata account yake wakapeleka kwa RC.

kuhusu kujuana, binti hajakataa. sikuliza vizuri clip. anasema RC alikuwa mpenzi wake, walikuwa wanafanya uzinzi kama wapenzi, RC alipoomba sodoma binti kakimbia akakata mawasiliano. siku RC amekuja na gari mwanza, akampigia simu kwa gia kwamba aje ili waombane msamaha kwa topic ya sodoma aliyointroduce hadi mahusiano yakakata. alipofika pale ndio kumfungia milango ya gari, nje kuna walinzi ambao obviously walijua labda ni mpenzi tu wa rc wanakulana kikawaida kwasababu huo ni utaratibu wa walinzi kutunza siri za viongozi, kumbe mle ndani anasodoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…