Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Mungu hadi alipiga kiberiti sodoma na gomora kwasababu ya matendo kama haya.Si yeye tu..dhambi ya aina hii huweza kuleta laana kwa nchi!
wanakuja leo ati RC anatafutwa na wabaya wake, as if hajafanya. hivi kweli kama haujafanya, umesingiziwa, utatoa milioni 13 kwa usawa huu ili issue inyamazishwe? kama maadui wanakisanua si wamepata pa kusanulia, wew eumefanya uovu wakaona hapo ndio pa kukukamatia wakashikilia hapohapo.
ukifanya kosa ndio usingizie kwamba mbona wanaofichua kosa ni maadui zangu? tuchukulie kweli anatafutwa, SAMIA angemsimamisha? pia, RC kwa ukubwa wa cheo alio nao, akisingiziwa patatosha kweli? aonyeshe basi evidence kwamba yeye siku hiyo hakuwa pale rock city kama binti anavyosema, alikuwa sehemu nyingine, wenyewe si wamesema cctv footage imekusanywa wataipeleka kama kielelezo. kama hakutenda mbona anatumia nguvu kubwa sana kuinyamazisha, kwa akili ya kawaida tu utasema hajafanya kweli?