Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Ukishatembea na mwanamke saizi ya watoto wako hapo tegemea heshima hakuna tena. Wapo wachache sana wanaobaki na heshima zaowanaume tuweni makini ndugu zangu, imagine, kabinti kama haka, kanamwita RC "NAMWANDA", pamojana phd yake, na cheo chake, na walinzi wake, kila kitu, binti anamwona wa kawaida tu kwasababu walishaonana sehemu za siri. tujiheshimu,
Kwa maaana unaumia unajua upuuzi wako najuaNimeamua kukupuuza.
Si hivyo tu, hapaswi kabisa kuishi na jamii..Ila Watanzania ni watu wa ajabu sana! Hivi NEWANDA ni mtu wa kupata wateteaji kweli?? Hata kama huyo mtoto ni Malaya lkn alichokifanya huyo muhuni ni ujinga wa Hali ya juu sana na ni kinyume na maadili ya nchi yetu, hata Sheria zetu zimekataza.
Kwanza inavyoonekana jamaa ana matatizo ya akili, pia hiyo ndio tabia yake kuharibu watoto wa wenzie kwa kuwashawishia kibunda.
Watu kama NEWANDA sio wa kuwapa mtoto wakulelee.
Kwa nini isiwe huyo malaya anaharibu wababa wa wenzieIla Watanzania ni watu wa ajabu sana! Hivi NEWANDA ni mtu wa kupata wateteaji kweli?? Hata kama huyo mtoto ni Malaya lkn alichokifanya huyo muhuni ni ujinga wa Hali ya juu sana na ni kinyume na maadili ya nchi yetu, hata Sheria zetu zimekataza.
Kwanza inavyoonekana jamaa ana matatizo ya akili, pia hiyo ndio tabia yake kuharibu watoto wa wenzie kwa kuwashawishia kibunda.
Watu kama NEWANDA sio wa kuwapa mtoto wakulelee.
Huyu ni malaya mkubwaBinti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza.
Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.
Tumsime mwenye umri wa Miaka 21 amekiri kufanyiwa kitendo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.
Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.
Na RC alitoa pesa ndogo baada ya kukuta tigo haina seal wakati aliambiwa tigo iko sealed haijawa guswa!!waelimishe hawa wapuuzi ndugu. ukweli ni kwamba huyu dada alikubali ila alipoona hela ndogo ndiyo akaamua kulisanua
Maskini binti wa watu marinda hana sasa anatafta huruma ….. hii nchi ngumu sana yani wale unaothani watakusaidia kumbe ndo wanakumalizaAkihojiwa kupitia UTV, taarifa ya habari saa mbili, 05 July 2024, amemtaka Rais kutomlinda mteule wake wa zamani.
Amedai anashangaa kwanini hadi sasa Yahaya Nawanda hajafikishwa mahakamani.
Source: UTV Habari saa mbili usiku.
Huwezi kuwasikia kwenye hili kwani wengi wao marinda walishapiteza kitambo. Ndiyo Micheal yao hao.UWT wamezoea kulindana
Tuna viongozi wa ovyo sana unashindwa kwenda liddos Naiobi unabaka vitoto vidogo ama kweli pesa sio akiliBinti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza.
Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.
Tumsime mwenye umri wa Miaka 21 amekiri kufanyiwa kitendo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.
Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.
Mnoo lo