Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Kumbe bado haijafika mahakamani duu ila ni funzo kwa wengine wanaoendekeza mapenzi, ona sasa shule amesitisha, mzazi alipewa 3m kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Shule ipi? Uliwahi kuona mtu ameachishwa chuo kisa mimba, amelawitiwa au cases kama hizo? Huyo ameamua mwnyw kuacha chuo
 
Vibinti vya chuo nao hawakomi

Ova
 
wanaume tuweni makini ndugu zangu, imagine, kabinti kama haka, kanamwita RC "NAMWANDA", pamojana phd yake, na cheo chake, na walinzi wake, kila kitu, binti anamwona wa kawaida tu kwasababu walishaonana sehemu za siri. tujiheshimu,
hahahaha.wanaume kwani wanakuaga na akili wakiona uchi wa mwanamke? Phd au u profeseli unaweka chini tena uchi wa mnyama.hahahahahaha
 
Maskini mtoto wa watu!
 
huu ni ukatili wa kijinsia pole sana Binti kupitia wewe mabinti wengine watajifunza tabia ya kuwa na mahusiano na watu wenye umri kama wa baba yao ambao inapelekea kufanyiwa vitendo vya ukatili kama huu
Mzee mmoja alikubaliana na Binti mmoja hapa Dodoma kabla ya Mchezo,Mzee akamwambia Binti huko mbele sitotumia maana vijana wamepitia sana......Binti akamblock Mzee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…