Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

mimi nachoshindwa kuelewa kumuanika waziwazi si ndio kumchoresha kwa raia. maana sasa jamii yote inajua kua kalawitiwa. ingefika wakati afichwe asijulikane kwa jina wala kuonyeshwa sura kama hivi.
 
😂😂😂😂😂😂 hii kaliii, khaaah
 
Ila kama Wazazi tujitahidi sana malezi ya watoto wetu.

Ni hatari Kwa Binti wa miaka 21 kupoteza Bikra zote mbili at per

Hii inaonesha, miaka ijayo Ndoa zitakuwa na matatizo makubwa kuliko ilivyo sasa.

Huwezi Kuoa Mke asiye na Bikra hata Moja halafu Ukute umetajiwa mahari zaidi ya milioni 3🙌
 
kama alilawitiwa kweli mbona inasemekana alikuwa anaikatikia viuno kabisa naniliu ya rc ikiwa inachanja mbuga sirini?
hiyo kusemekana, nani alimuona mwanachuo wakati anakatika, anahitajika awe shahidi mahakamani
 
Kuna kabinti nako kalimnyima kijana mmoja daraja la upadre kisa ana mimba yake. Badala ya kumuacha apate daraja ili waponde maisha, sasa wapo wote mtaani wanasota. Ujinga wa kabinti.
 
Kuwa na urafiki ndio amlawiti kweli?
Hili shetani linatakiwa na lenyewe liinamishwe na lipigwe mande na kama mtu 5 ndio ufahamu utamrudi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…