Binti wa miaka 17 ajinyonga baada ya kuachika mara tatu kwenye ndoa

wanawake mlio kwenye ndoa tulieni kwenye ndoa zenu, hii ni hatari kubwa sana.
 
Kwamba ilishindikana kabisa kuishi pasipo kuwa na ndoa...
 
Umeongea ukweli Sana. ukute alikuwa anasimangwa kila saa.... Jamii za ki Africa zifike mahali ziache kupima thamani na utu wa mtu kwa kugezo cha ndoa..
 
Na kwa nini binti usiolewe?
 
wanawake mlio kwenye ndoa tulieni kwenye ndoa zenu, hii ni hatari kubwa sana.
Hivi umeelewa kweli?? Yeye kajinyonga kisa kuachika sio kisa kukimbia ndoa....kwamaana iyo alikuwa akiingia kwenye ndoa mambo yanakuwa ndivyo sivyo wanatengana anabaki anaumia....
 
ila mademu bwana mimi miaka hiyo nilikua nawaza kupiga na kusepa sio kuoa
 
Kwamba ilishindikana kabisa kuishi pasipo kuwa na ndoa...
Miaka 17 bado ni mtoto sana.
Umri huo ni wa kujifunza, na elimu kubwa inatokana na mtindomaisha (lifestyle) pia mazingira ambayo yamemzunguka mhusika.

Inaonesha wazi kwamba kwenye mazingira ya Rebecca, ili mwanamke aheshimike inategemea na uwezo wake wa kuhimili na kudumu ndani ya ndoa.
Kushindwa kwake kudumu kwenye ndoa, kwa umri wake aliona amepotoka sana na kwamba kuendelea kuishi kwenye jumuiya hiyo kwake ni fedheha.
 
mshitakiwa namba moja hapo ni wazazi wa huyo binti mtamuozeshaje mtoto wa miaka kumi na saba hata viungo havijakomaa ataweza kuhimilki mwanaume kweli?ndiyo maanajamaa walikuwa wakiona hajiwezi wanamuacha
 
Hata mi nashangaa. Msiwe mnawang'ang'ania wanawake mwisho wa siku mnajiua mwanamke anabaki akila maraha
 
Tuseme kila ndoa alikua nakaa mwaka mmoja mmoja itakua alianza kuolewa akiwa na miaka 14
 
Umesema jambo la msingi sana.Jamii yetu inapasa kubadilika.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…