kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Pisi nyingi zilizopanga zinachelewa kuolewa balaaKwa sababu wana Uhuru uliopitiliza. Wakiwa na Uhuru sana thamani zao zinashuka. Hakuna mwanaume anakubali kuoa mwanamke wa thamani ya chini . That is it.
🙏Nashauri useme naye vizuri, mdadisi chanzo chake cha kuendesha maisha kama hana ya kazi ya kufanya kumuingizia kipato lakini kama unajua ana kipato kwa umri huo mpe baraka akaanze maisha na hasa kama siyo mwanafunzi.
Mwaliko basi ili tule pilau😀😀😀😀naolewa soon
😄Mwaliko basi ili tule pilau
Mimi mwenyewe mentality yangu iko hivyo,Binti anatakiwa kukaa kwao,labda kusiwepoUmejuaje ?
Mama kashasema hua anaruhusiwa kwenda sehemu kujitafutia huko ndiko Pedi pia hupatikana au bimkubwa hufanya shopping ya mana akijua anabint ndaniSio mahitaji yote............umempa unyumba mpaka useme mahitaji yote
Na hili linafanya wanawake wawe wife material maana muda wote atasemwa na mama akikosea, wakujipangia wanakuwa wamechakachuliwa sana
Daaah, miaka 24 nahis kuna kauhuru anakakosa, kama vile kurudi home mda autakao yeye, kula bata atakavyo yeye au rafiki zake tayari wameshatoka home wamepangaHabari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Mama yako ni mwanamke anayejitambua sana. Na anakupenda sana. Asingefanya hivyo angekuwa amekutoa kafara.nakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti
na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
Akatafute maisha au akawe huru kufanya ngono? Hayo maisha hawezi tafuta akiwa kwa wazazi wake?Unakosea sana miaka 24 ni mtu mzima mwache akatafute maisha
Malezi ya mtoto wa kike na wakiume ni tofauti. Anatokaje na hana kazi wala kipato anakwenda kuishi vipi huko nje.Mbona ni mtu mzima au mpaka afikishe 35
Sababu wengi kwasasa wanachelewea shule.Dunia imechange, binti wa 24 anaonekana mtu mzima,
Bado anahitaji muongozo wa wazazi wake
Ukisikia mama ndio huyo jibu wala sio refu maneno machache tuu, ila hahahaaaaa ukibishana nae hapo we kweli umepinda .nakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti
na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.