Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo serikali sikivu imeskiza kilio cha wana Mbeya na sasa umeme ni wa uhakika hakuna mgao tena 🐒Japokuwa Spika Dr Tulia amesema kuwaandamanisha Watu kilimita 16 kwa Miguu ni kuwachosha bila sababu mimi Naamini Naibu Waziri mkuu baada ya kukutana na yale Maandamano Roho Mtakatifu wa Mungu alimpa Hekima yake
Wote tunajua bungeni Wizara ya Nishati ilipewa hadi June kumaliza Mgao lakini ghafla Mgao umeisha
Tuyakatae Maandamano ya Shari yenye kuleta vurugu lakini haya ya amani yanamsaidia hata Rais wa JMT kupata Taarifa ambazo Wasaidizi wake wangependa asizijue tuyaunge mkono
Mimpongeze mbunge wa Arusha Mjini kwa kuyakaribisha Maandamano ya Chadema jimboni kwake kwani yatamsaidia hata yeye Wapiga kura wake wapate Sugar
Siasa ni Sayansi 😂
Kabisa Kabisa 😂kwahiyo serikali sikivu imeskiza kilio cha wana Mbeya na sasa umeme ni wa uhakika hakuna mgao tena 🐒
Hilo ni Jambo la maana na ndio tabia ya serikali ya DR SSH...
Serikali inakwenda kutega skio vizur kuwaskiza wa akina Lema Arusha stay tuned 🐒
Kinara kivipi wakati mpaka anakufa alikua amejenga bwawa kwa 40% pekee ika Samia kajenga kwa 60%, kalijaza maji, kawasha mitambo!! Sasa why sifa kwa JPM? acheni chuki na wivu hauwasaidii kitu. Kubalini tu mama kawaprove wrong kwenye hiliSifa kwa wote JPM na Samia! Ila bado haiondoi uhalisia kuwa JPM ndo Kinara wa hilo!
Ulitaka Samia asijenge? Mafanikio ya Magufuli ndo mafanikio ya Samia!Kinara kivipi wakati mpaka anakufa alikua amejenga bwawa kwa 40% pekee ika Samia kajenga kwa 60%, kalijaza maji, kawasha mitambo!! Sasa why sifa kwa JPM? acheni chuki na wivu hauwasaidii kitu. Kubalini tu mama kawaprove wrong kwenye hili
Kama bwawa la Nyerere limeshaanza kuzalisha umeme. Mama samia ametisha kwa kuendeleza magufuli alipoishia
..sasa BEI ya umeme ISHUKE maana tuliambiwa UMEME unaozalishwa kutokana na nguvu ya MAJI una gharama ndogo ktk uzalishaji kulinganisha na vyanzo vingine.
Inategemeana uko upande gani wa nchi.Kile zamani tuliona kawaida, lakini kwa siku tatu leo, hakuna mgawo wa umeme!
Nimefanya research nyumbani kwangu, umeme upo, hata sasa!Wewe upo mkoa gani ? watu Jana tarehe 24 na 25/2 baadhi ya mikoa watu wame experience mgao wa umeme wewe ufanye conclusion kwamba Leo siku ya tatu hamna mgao no research no right to speak .