Bongo aliyenunua gari na kujenga nyumba anajiona ametoboa maisha

Huyu ndugu yenu hana akili ata mie namzidi🤣🤣🤣🤣🤣
 
People should just mind the business that pays them!

Kwa nini mnapenda kujishughulisha na mambo ya watu wasiowahusu?
Chuki na roho mbaya vinaeatesa wanataka kuona mafanikio ya wenzao si chochote wakati suala la mtu kujitegemea tu yani kuwa na gheto na ukamudu gharama za chakula na mavazi nk ni mafanikio makubwa sana kwa binadamu
 
Ni kweli mafanikio ni relative term. Kila mtu na anavyoona yeye. Mwingine kuolewa au kuoa mtu sahihi ni amemaliza Yani ndo mafanikio yake
 
Mkuu huyu ni tajiri nyumba ya 30m na gari ya 20m huyu ni class apart wa Tanzania wanao weza kumiliki mali ya 50m hawafiki 10% plz mkuu heshimu juhudi za watu, sio kila mtu anaweza kumiliki gari na nyumba.
Mtoa mada utakuta bado anaishi kwao
 
Sahihi
 
Mbona unatoa povu? Kwa hali ya kibongo kumiliki gari na nyumba si jambo rahis. Japokuwa hao sitowaita matajiri bado ni uchumi wa kati. Acha wajipokengeze kufikia hapo si kazi rahisi
Kama unamiliki gari na kanyumba halafu bado mafuta ya gari unabangaiza bado sio uchumi wa kati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…