Friji la mtumba
Senior Member
- Apr 7, 2024
- 119
- 154
Wewe ni mchungaji?gari ni kitu kizuri sana kwa maisha, linarahisisha kazi, linaharakisha utendaji kazi na utafutaji wako. lakini gari ni kitu hatari sana kwa afya yako. walionielewa wamenielewa. wengi wetu leo hii ukisema tutembee vituo viwili vya basi kwa mguu, au tupande daladala, inatuwia vigumu sana. kilichobaki ni kulipia gym na kuhangaika kujenga afya jambo ambalo yule anayepanda daladala na kutembea kwa mguu alipata bure kabisa. wanaotembea kwa mguu au daladala kwa shida wanapata afya njema sana ila wao tu hawajui.
Vitz????😃😃Sasa ulitaka wakipata pesa wanunue Nini,au ulitaka watu wapande punda,nyumba na gari ndio utajiri wenyewe,hata km ni vits
Kutoboa ni maneno ya kihuni huni tu,ili maisha yawe yenye ustawi chakula,malazi hata kama umepanga,mavazi,usafiri (boda,gari,baiskeli) ni hatua muhimu hasa ukizingatia kuwa tulikotoka haikuwa hivyo.Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Njia moja ambayo wakati mwingine anakosa pesa ya mafuta,gari hakatii insurance,service anapitiliza basi shido tuFikra positive ni zipi mkuu ni
Kuwa na gari ya kumtembelea huku ukitegemea njia moja tu ya kipato ?
Tushukuru kwa kila jambo pengine hao ndio wanatafsiri neno maendeleo,that why ukiwaona unadhani wanajidai kumbe wanakufundisha na wewe ukipata ufanye unavyotaka.Bongo shida sana
Umewaza kama ninavyowazaga
Yani mtu ana kigali na kinyumba anavimba
Interesting
Nyumba na gari sio utajiri na hauwezi kuwa utajiri
Kweli kabisa.ni changamoto aisee wategemezi wengi vizinga kila Kona kwa wana ukoo.Mimi nikijenga tuu imetosha wakuu, huku bongo tunachelewa kuanz maisha
Ukiwa na 30 ndio unawez panga chumba moja au mbili sasa unazan ni rahis kuleta mapinduz ya kiuchumi wakat ukoo mzm unakutegemea 😨😨
Te he Te heHuku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Kwa 2KM umbali huo ni mkubwa sana wakuu ?????😀😀😀.Mafanikio ni swala pana. So inategemea hali uliokua nayo awali na ulipo kwa wakati husika.
Kwa mfano unaweza kuta mtu kwao kakulia kwenye nyumba ya udongo na shule amesomea 2km umbali kutoka nyumbani na anaenda kwa miguu kila siku, sasa mtu kama huyo akijenga nyumba ya milion 30 na kagar ni mafaniko makubwa sana kwake ila kwa mtoto wa mengi au bakhresa kwao mafanikio ni vitu tofauti na hivyo.
Maharo😇😇😇🙄🙄Njia moja ambayo wakati mwingine anakosa pesa ya mafuta,gari hakatii insurance,service anapitiliza basi shido tu
Hata hapa Japan hali ni hiyo hiyo.Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Maendeleo ni kufanya kazi kwa bidii na kutimiza ndoto zako,familia na Taifa lako,ndio maana kuna Short na long plan.Hata hapa Japan hali ni hiyo hiyo.
Wewe unataka nini zaidi ya hapo??Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam
Kwanini?Nyumba na gari sio utajiri na hauwezi kuwa utajiri
Sawa mtaalamuMaendeleo ni kufanya kazi kwa bidii na kutimiza ndoto zako,familia na Taifa lako,ndio maana kuna Short na long plan.
Development ni scientific mature of humankind.
Tumeaminishwa hivyo na social status zetu.Huku Bongo (TZ) ukijenga nyumba ya 30mil kisha ukinunua gari la kutembelea (i.e: Carina, IST, Mazda, wish, Rav4, Dualis, Spacio, Crown Athlete, Vitz, Runnex, n.k) tayari unaonekana umetoboa maisha. Pengine hata wewe mwenyewe utajiona una akili ya maisha kuliko kiumbe chochote hapa nchini ambacho hakikufanya hivyo.
Ukisimama mbele ya masikini wenzako wanakuita TAJIRI. Hata kama haikuwa desturi yako kuvaa mkanda nje (kuchomekea sharti), sasa utaanza kuvaa hivyo ili watu waone ufunguo wa gari ukiwa umeuning'iniza kwenye suruali.
Right Marker
Dar es salaam