With hons sio kigezo... kigezo ni 3.8 and aboveMimi napata morali niende nikapambanie shahada ya umahiri. Ili hizi fursa zikija tena huko mbele zinikute nikiwa nimejiandaa vya kutosha.
Nashukuru bachelor nimevuka kigezo chao with honours (hons)
Vyuo vya kati wanachukua hiyo 3.5 bado hawapati watu.GPA ya 3.8 undergraduate haina uhalisia. kigezo kiwe uppersecond class kuanzia 3.5 na kwa masters iwe kuanzia 3.8. SUA zamani walikuwa na vigezo hivi ila harmonized scheme imepandisha. na wahadhiri wa SUA waliokuwa wanapatikana walikuwa wazuri tu kupitiliza! makerere gpa wanaanzia 3.5 kwa first degree na masters
Wengi waliosoma kozi fulani undergraduate wakienda Masters level wanasoma kitu tofauti hii inawafanya wasiwe shortlisted kuwa academicians ktk hizi taasisi (my guess)Naona undergraduate wanataka 3.8 na Masters 4.0GPA, kwa mtaji huu ina maana wanaopata viwango hivi ni wachache?
AT LEAST MINIMUM INATAKIWA IWE 3.5Vyuo vya kati wanachukua hiyo 3.5 bado hawapati watu.
Academicians hawana muda wa kufanya mambo mengine unless a outsource. Time is very limited to them.Sio mbaya. Kinachowatofautisha wao na waalimu wa A-level ni hiyo GPA tu. Mshahara hautoshi kila sehemu. Watumie vizuri faida ya kukopesheka kufanya mambo mengine. Kinyume na hapo watazidi kulaumu tu. Hata hawa wabunge wangekuwa wanapata mishahara tu bado sio nyingi kivile kwa sababu ya wahitaji wengi walio nao. Wahadhiri wajiongeze kwasababu pia wana faida kubwa ya vyuo vingi kuwa mijini.
Kazi zote hizo pesa inaingia kwa nini asilale ofisiniAcademicians hawana muda wa kufanya mambo mengine unless a outsource. Time is very limited to them.
Kuna moja hapo Coet alikuwa ana kitanda ofisini.
Muda mwingi wapo kazini...mara research, supervising, marking, updating knowledge, seminars, papers, teaching, fields etc Hana hata muda wa kukaa na familia
Nafkiri ajira zinaombwa kupitia serikalini moja kwa moja siyo chuoni kama sikoseiChuo kikubwa km UD wana database ya watu wao waliosoma pale wenye ufaulu mzur, wanaweza wasiliana nao wajue wako wap, sidhan km kuna mtu atakataa kurud Ud alikosmoa otherwise awe na mishe ingine
I agree...wengine wengi walikuja kustuka too late. Nakumbuka one day ktk semina semester ya mwisho mwaka wa mwisho Dr. alitangaza mwenye GPA ya 3.8 amfate kuna kazi. Hapo nakumbuka ilikuwa hata hatujafanya UE ya mwisho. Well, none followed him, none had.UFAULU
Elimu ya chuo kikuu Ili upate upper second au first class....
Ina bidi sacrifice sana...kujitoa sana na Mwenyezi MUNGU awe upande WAKO daily.....
Na huo msako wa first class na upper second unatakiwa uuanze tangu First semester ya mwaka wa kwanza.....
Mm nilikuja kupata awereness mwaka wa kwanza semester ya pili....mtanange ukawa mgumu pambania sana KOMBE...
Nika fall in love na masomo nikawa BOOK MONGERS...
Yaan NDIO Nika ishia 3.5 nakumbuka Kuna watu wakinionaga nao wanapata mshituko am 4 real am 4 real Duniani [emoji288] hakunaga mtu mwembamba[emoji41]
am 4 real hatukuwai kujua utakuja kunenepa....
Hapa sijazungumzia Favoritism huko masomo vyuoni....
All in all Kupata first class au upper second class need dedication....
Hata Kwenye course za social science sio lelemama usipo kua makini unaishia pass na lower second class
Vingine wala siyo issue ya pesa ni sifa za kitaaluma tu. Ingawa kadri anavyozidi kukwea kitaaluma ndo mshahara unazidi. Ila hoja ya mdau hapo ni kuwa PhD wa wizarani na huyu wa chuoni wa wizarani anafaidi zaidi kuliko wa chuoni. Ndiyo maana Kitila, Kabudi, Buliani etc hawarudi kirahisi vyuoniKazi zote hizo pesa inaingia kwa nini asilale ofisini
Kuna test tuliwai fanya Sasa Kuna watu wakaenda Kwa huyo Dr. R.I.PI agree...wengine wengi walikuja kustuka too late. Nakumbuka one day ktk semina semester ya mwisho mwaka wa mwisho Dr. alitangaza mwenye GPA ya 3.8 amfate kuna kazi. Hapo nakumbuka ilikuwa hata hatujafanya UE ya mwisho. Well, none followed him, none had.
Hili ni kweli kabisa....Wenye masters wengi GPA za under graduate hazifiki 3.8
Na pia ambao zinafika hawako vizuri kwenye presentations. Hivyo wanafeli interviews
hao wanaosimamia usaili wakafundishe wao kuliko kurudiwarudiwa kwa tangazo hilo kila wakati kana kwamba nchi hii hakuna wasomiHello members,
Nimestushwa sana na hii trend ya kutafuta wahadhiri kwa kurudia rudia matangazo kila siku.
Nilikua na mzee mwenzangu leo akanionesha tangazo la kazi za wanataaluma kutoka UDSM zaidi ya wanataaluma 300 huko lakini chakushangaza tangazo linarudiwa!!
Shida ni nini na wasomi wa masters sasa ni wengi mno tofauti na miaka yetu?
Shida ni umahiri? Uzoefu? Ufaulu au nini?
Nini kifanyike kurejebisha hili maana hii imenistua sana.
Hadi research inakuwa haina malipo ya ziada?Academicians hawana muda wa kufanya mambo mengine unless a outsource. Time is very limited to them.
Kuna moja hapo Coet alikuwa ana kitanda ofisini.
Muda mwingi wapo kazini...mara research, supervising, marking, updating knowledge, seminars, papers, teaching, fields etc Hana hata muda wa kukaa na familia
Kaji-brand sana kama mdaku na mambo mengine yasiyo na mchango kwa taifa. 😁Hahahahah mzee mbona unamfukuza
Pepstic ni msomi pamoja na mbanga zake
Inakuwa nayo. Lakini sidhani kama mara zote anapata funds za kufanya research.Hadi research inakuwa haina malipo ya ziada?
You were there! Well and good mate.Kuna test tuliwai fanya Sasa Kuna watu wakaenda Kwa huyo Dr. R.I.P
Kumuomba marks 🤓
Alicho wajibu,
Lecturer has no marks To Give...Ntazitoa wap Mimi Sina maksi za Bure za kuwagawia😂😂🤣
Imeisha iyo watoto wa town NDIO misemo Yao.... jamaa hatoi maksi za Bure na ni mwalimu mzur sana yupo Fair na very humble to the earth 🌍
Ajabu, tatizo ni GPA za undergraduate, wangerudisha 3.5 wangewapata wa kumwaga kwani kwenye Masters wengi sana wana hizo 4.0. Changamoto ni hiyo 3.8 ya undergraduatePanelist wanahusika na shortlisting?
Umenena ukweli mtupuSio ukubwa wa qualifications tu. Kazi ni highly demanding, time consuming, energy consuming abd relatively poor rewarding. Unaenda kufundisha chuo na MaGPA yako makubwa, uwe unabukua na kuandaa masomo kila wakati lkn mwishowe malipo ni kiduchu ukilinganisha na wenzako waliopambana au watakaopambana kuingia kwingine ndani ya serikali. Na Masters yako, unakuja vijana wa Bachelor wanakuzunguka mara kibao. Wana safari za kilakukicha wakato weww unakomaa kuandaa slides kozi kama 3 hivi au hata kupitia za wenzako. Mara usahibishe mitihani ya wanafunzi wengi. Pointi yangu ni kwamba package za wahadhiri zipitiwe na kuboreshwa. Hata kwa kuhamia hakuna mtu atataka kwemda. Maisha ya wahadhiri nayo yawe bora kama huko TCRA, TRA, BOT, PSSF, NSSF, NHIF na kwingine.
Masters ndo naibukua sasa🙏Mzee unavyo masters