Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Aah nimeona mahala kumbe mume wake shishi basi sawa shem lake mwambie wife apunguze shobo dundo hajafa bado anaishiAcha kua hivyo basi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah nimeona mahala kumbe mume wake shishi basi sawa shem lake mwambie wife apunguze shobo dundo hajafa bado anaishiAcha kua hivyo basi,
Ulitaka aletwe nani ?)Wamezingua pakubwa kumleta Shishi
Oish wewe hujanielewa Mimi sio huyo Mimi ni Mpetde, sio shem wakoAah nimeona mahala kumbe mume wake shishi basi sawa shem lake mwambie wife apunguze shobo dundo hajafa bado anaishi
Rita kitendo tu cha kumleta salama mkoboaji wanawake wenzie, huwa anachafua cv yake sana. shishi mwenyewe ana tuhuma hizo za kukoboana.Ulitaka aletwe nani ?)
Usilikatae tinginya lako bhana,Oish wewe hujanielewa Mimi sio huyo Mimi ni Mpetde, sio shem wako
'Kapeace' angalia mtu wa mtu huyo usimfanyie hivi kwenye mtandao, sio MimiUsilikatae tinginya lako bhana,
Seleeee SelemaniRita kitendo tu cha kumleta salama mkoboaji wanawake wenzie, huwa anachafua cv yake sana. shishi mwenyewe ana tuhuma hizo za kukoboana. wanaume pia wanaoenda hapo hao kina master j wanalambalamba midomo tu. hicho kikampuni na vimashindano vimejaa ujinga mtupu na ukimsikiliza vizuri pachal kasian unaweza kuwajua connections zao.
Wakati anamfanyia mwenzie mbele ya camera? Mfundishe mkeo kabla ya walimwengu maana ulimwengu haifundishi ila unaadabisha'Kapeace' angalia mtu wa mtu huyo usimfanyie hivi kwenye mtandao, sio Mimi
Isitoshe kimeshuka sanaKipindi cha mchongo mule wote majaji ni hamnazo pamoja na washiriki
Newton's 3rd Law of Motion, sina cha kuongezeaUkibishana na mjîñgæ
Na wewe utakua mjîñgæ
Ndo kinachotokea kwenye huu uzi...
Mlianza vizuri tu.. ila mlipoanza kujibu tu mkaaribu kila kitu.😂😂😂😂😂
Shilole kazinguwa sana
Kimeshuka kutoka wapi wakati kipo vile vile kilichobadirika ni venue tu mwanzo kilikua ITV Ila sasa kimehamia Startimes,Isitoshe kimeshuka sana
Kumfanyia nini ?) Acha kukuza MamboWakati anamfanyia mwenzie mbele ya camera? Mfundishe mkeo kabla ya walimwengu maana ulimwengu haifundishi ila unaadabisha
Udhalilishaji ndio sababu iliyopelekea onyesho la BIBI BOMBA kufutwa. Na hawa wadhalilishaji naona kabisa kipindi chao hiki cha mchongo kinakaribia tamati.Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.
Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia...
Sasa kikwapa na nota za muziki vinahusianaje? Kipindi hiki kimevamiwa na mijitu iliyokosa muelekeo ndio maana kila siku inadhalilisha watu bila sababu za msingiHiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.
Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia...
Kuna kituo cha TV kinachoitwa Startimes au ni huku porini nakoishi kunanizeesha?Kimeshuka kutoka wapi wakati kipo vile vile kilichobadirika ni venue tu mwanzo kilikua ITV Ila sasa kimehamia Startimes,