Bora kumtoa kafara mzazi ama mtoto ili kuokoa wengine ktk ukoo kutoka kwenye lindi la umaskini

Bora kumtoa kafara mzazi ama mtoto ili kuokoa wengine ktk ukoo kutoka kwenye lindi la umaskini

Kila kitu ili kikupe matokeo lazima imani iwepo.

Sifikirii Kama mafanikio yanabidi yakufikishe huko Mkuu.

Work smart
Keep God first

Kuna kukosa na kupata na kukosa na kupata .

Then maisha hatuishi daima so keep a balance .
 
Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.

Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Haya yote yameletwa na FISIEM
 
Kamwe Misukule haileti utajiri,
Akili nzuri, bidii ya kazi na nidhamu ya Hali ya juu zaidi katika Matumizi ya Fedha ndio viini vikuu vya kuleta Utajiri hapa hapa duniani.

Endapo kama Misukule inaleta Utajiri basi nchi za Marekani, Brunei, Saudi Arabia kungekuwa na Majumba mengi zaidi ya kuwatunza Misukule.
But all in all, Elon Musk kwa Sasa ndiye angekuwa mtu wa kwanza hapa duniani kwa kumiliki Misukule wengi zaidi kuliko mtu mwingine yeyote yule. But the reality is negative!
In addition to your point.

If witchcraft really existed people would have weaponized it long time ago, we would have invisible rockets, enchanted bullets and invisible ballistic missiles.
 
Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.

Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Wewe ni kichaa period
 
Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.

Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Aisee, kwanini usiitishe kikao na wanafamilia uwambie kwamba wewe umejitolea kuwa msukule wa familia?
 
Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.

Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Kwa hiyo huyu ni kafara ya ccm kwa vijana wazee.
IMG_0612.jpeg
 
Siwezi kuingia deep Kwa ufahamu wako Huo.

Ni MTU mwenye degree ndogo za ufahamu ndo atasema kuwa nothing exist in spritul realm.
Kwenye imaginations kila kitu kinaweza ku exist hata mauzauza.

Ila kwenye uhalisia lazima ulete uthibitisho.

Kwa hiyo huo uchawi ni imaginations zako tu.

Just an illusion.

Kwenye uhalisia, Hakuna uchawi.
 
Back
Top Bottom