dikir kab can
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 1,499
- 2,667
kwa hiyo sasa unaishi maisha ya kitajiri ukiwa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya yote yameletwa na FISIEMKukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
In addition to your point.Kamwe Misukule haileti utajiri,
Akili nzuri, bidii ya kazi na nidhamu ya Hali ya juu zaidi katika Matumizi ya Fedha ndio viini vikuu vya kuleta Utajiri hapa hapa duniani.
Endapo kama Misukule inaleta Utajiri basi nchi za Marekani, Brunei, Saudi Arabia kungekuwa na Majumba mengi zaidi ya kuwatunza Misukule.
But all in all, Elon Musk kwa Sasa ndiye angekuwa mtu wa kwanza hapa duniani kwa kumiliki Misukule wengi zaidi kuliko mtu mwingine yeyote yule. But the reality is negative!
Wewe ni kichaa periodKukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
In addition to your point.
If witchcraft really existed people would have weaponized it long time ago, we would have invisible rockets, enchanted bullets and invisible ballistic missiles.
There's nothing like limitations.What you see is the limitations of ur view.
There's nothing like limitations.
Hakuna uchawi.
Aisee, kwanini usiitishe kikao na wanafamilia uwambie kwamba wewe umejitolea kuwa msukule wa familia?Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Thibitisha uchawi upo.Ndo maana nimesema usiseme kitu hakipo ikiwa una degree ndogo za ufahamu , wewe ukiwa na degree ndogo unakuwa upo kimwili zaidi hauwezi kutoka nje ya mwili na kufanya jambo lolote.
Mimi sijasema ni Wakinga na sitaki ugomvi na watu.Kuna jamii moja wana msemo wao
“Ua kamoja kawalee wenzake “
Umaskini ni mbaya sana, lakini umaskini wa fikra ni mbaya zaidi.
Thibitisha uchawi upo.
Na unajuaje ni uchawi?
Kwa hiyo huyu ni kafara ya ccm kwa vijana wazee.Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Hahahaha!Mimi sijasema ni Wakinga na sitaki ugomvi na watu.
Kwenye imaginations kila kitu kinaweza ku exist hata mauzauza.Siwezi kuingia deep Kwa ufahamu wako Huo.
Ni MTU mwenye degree ndogo za ufahamu ndo atasema kuwa nothing exist in spritul realm.