Bora kumtoa kafara mzazi ama mtoto ili kuokoa wengine ktk ukoo kutoka kwenye lindi la umaskini

Bora kumtoa kafara mzazi ama mtoto ili kuokoa wengine ktk ukoo kutoka kwenye lindi la umaskini

Mtoto hapana mkuu bora mtoe dingi....
😁😁😁😁😁

Alafu assume hii comment anakuja kusoma mwanangu miaka 45 ijayo hukooooo
Sheria za kumtoa mtu kafara ni ngumu Sana.

Maana anayetolewa kafara anabidi kuwa na degree za juu Sana .

Na sio mtu mlevi , mzinzi kichwa maji then umtoe kafara inagoma.

Fatilia vzr
 
Kwenye imaginations kila kitu kinaweza ku exist hata mauzauza.

Ila kwenye uhalisia lazima ulete uthibitisho.

Kwa hiyo huo uchawi ni imaginations zako tu.

Just an illusion.

Kwenye uhalisia, Hakuna uchawi.


Kuna mambo hauwezi kufika na usipofanikiwa kufika utakuwa unaishi kimwili na hoja zako zitabaki zile zile kuwa there is no spiritual realm.
 
Kutoa kafara - ninavyojua ni sawa na kutoa sadaka Ila hiyo sadaka inakuwa too powerful na inayouma Kwa wewe hasa unayeitoa.


Tukija katika hoja ya kutoa mtoto , wazazi n.k

Ni kweli watu wanofanya ibada za kishirikina hufanya hayo mambo Ila lazima huyo anayotolewa kafara awe ni mtu smart mwenye nguvu na nyota iliyokaa vizuri.

Sasa unaweza kuzaa watoto hata 20 Ila hasipatikane wa kumtoa kafara hata mmoja na Kama kutoa kafara ingekuwa rahisi hivyo watu hasa masikini wangeziteketeza sana familia zao.
 
Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.

Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Huna akili mkuu...acha ujinga jitume Fanya kazi kwa bidii utoke kwenye umasiikini. masikini ni wavivu wa kufikiri na kufanya kazi
 
Mabomu ya gongo la mboto
 

Attachments

  • 8B9F3380-93EA-484D-B1B3-022EFEF89CB4.jpeg
    8B9F3380-93EA-484D-B1B3-022EFEF89CB4.jpeg
    41.7 KB · Views: 2
Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.

Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Fikra za kutoa kafara kupata utajiri ndiyo msingi wa umasikini wenyewe.
Huo ndiyo uthibitisho wa umasikini wa akili. Afadhali ujitoe kafara kwa kwenda vitani kama mamluki au uwe jambazi kabisa, utakuwa na fikra chanya lakini ovu (utakuwa una akili, lakini unaitumia vibaya).
 
Back
Top Bottom