mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 2,266
- 4,057
π π π Mdingi tayari utakuwa kwenye lineMtoto hapana mkuu bora mtoe dingi....
πππππ
Alafu assume hii comment anakuja kusoma mwanangu miaka 45 ijayo hukooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π Mdingi tayari utakuwa kwenye lineMtoto hapana mkuu bora mtoe dingi....
πππππ
Alafu assume hii comment anakuja kusoma mwanangu miaka 45 ijayo hukooooo
Sheria za kumtoa mtu kafara ni ngumu Sana.Mtoto hapana mkuu bora mtoe dingi....
πππππ
Alafu assume hii comment anakuja kusoma mwanangu miaka 45 ijayo hukooooo
SawaDr am 4 real PhD nitag kwenye ule uzi wa uchawi niendelee kupata madini
Sema bora mdingi ndo ateketezweπ π π Mdingi tayari utakuwa kwenye line
Dactar nakusalimia...Sheria za kumtoa mtu kafara ni ngumu Sana.
Maana anayetolewa kafara anabidi kuwa na degree za juu Sana .
Na sio mtu mlevi , mzinzi kichwa maji then umtoe kafara inagoma.
Fatilia vzr
Kwenye imaginations kila kitu kinaweza ku exist hata mauzauza.
Ila kwenye uhalisia lazima ulete uthibitisho.
Kwa hiyo huo uchawi ni imaginations zako tu.
Just an illusion.
Kwenye uhalisia, Hakuna uchawi.
kuna visa vya ajabu ajabu mleSawa
PamojaDactar nakusalimia...
Sasa wewe si umeshayafikia hayo mambo ya spiritual realm?Kuna mambo hauwezi kufika na usipofanikiwa kufika utakuwa unaishi kimwili na hoja zako zitabaki zile zile kuwa there is no spiritual realm.
Kumbuka nawe utakuwa Mdingi so nawe utatolewa pia na watoto wako ili utajiri wa familia uendeleeπππSema bora mdingi ndo ateketezwe
Huna akili mkuu...acha ujinga jitume Fanya kazi kwa bidii utoke kwenye umasiikini. masikini ni wavivu wa kufikiri na kufanya kaziKukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Me kuwa mdingi sahau mkuu..Kumbuka nawe utakuwa Mdingi so nawe utatolewa pia na watoto wako ili utajiri wa familia uendeleeπππ
Fikra za kutoa kafara kupata utajiri ndiyo msingi wa umasikini wenyewe.Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.