Boxer yangu katika chumba cha mpangaji mwenzangu

Kumbe ni chai...!??
hapana kiongozi. si kitu cha kipuuzi kama unavyo dhani. najaribu kuvaa uhusika kama tukio hilo lingetukia kwangu.
nini ingekuwa hatma ya ndoa yangu?
that's why nimeomba ushauri ili nithubutu kutenda wema kama itawezekana.
 
Labda alikuwa anachepuka kweli na bukta ikawa sababu

Katika maisha kuna matukio huwa yanatokea ukifikiri umeharibu kumbe umeokoa
 
hapana kiongozi. si kitu cha kipuuzi kama unavyo dhani. najaribu kuvaa uhusika kama tukio hilo lingetukia kwangu.
nini ingekuwa hatma ya ndoa yangu?
that's why nimeomba ushauri ili nithubutu kutenda wema kama itawezekana.
 
Hii chai ya jamaa imewekwa tangawizi. Boxer inanasaje kwenye neti wakati unaikung'uta afu iruke kama tenesi mpaka chumba cha pili afu ikatue kwenye switch chumba cha jirani?
 
Dah kuna kamtihani coz umechelewa kulitolea maelezo... lkn pia ni kwa namna gani jamaa atapokea maelezo yako kuusu kulichotokea akuelewe... lkn kwa mawazo yangu naona utafute watu wazima wenye busara ata wawili wa eneo lile mwende mkamueleze jamaa. Ili kuokoa ndoa yao..
 
Hii chai ya jamaa imewekwa tangawizi. Boxer inanasaje kwenye neti wakati unaikung'uta afu iruke kama tenesi mpaka chumba cha pili afu ikatue kwenye switch chumba cha jirani?
mtazamo wako wa ndani zaidi ndio uliokupa majibu hayo. ila nakuomba uniamini ktk hili kwasababu ni accidentally case.
sikutegemea nguo ichomoke mkononi wakati naikung'uta.
 
niliomba ushauri huo kwa dada na shemeji yangu ila walinikatalia na kusema hii itawapa watu ukweli kwamba pengine mimi ni ndio dereva fulani wa maroli ambaye anasadikiwa aliwahi kulala chumba hicho wakati jamaa hayupo.
hivyo hawakutaka niuchochee moto kwa kutafuta watetezi.
 
Asante sana ndugu. naona ushauri wako ni njia ya kuanzia.
naamini nikitumia njia ya simu itaniweka salama, hata jamaa akiwa na ghadhabu hata weza kunidhuru papo kwa hapo.
Nakushukuru.
 
Unataka jamaa auliwe? Mapenzi ni kitu kingine usijaribu kufanya masihara
 
Asante sana ndugu. naona ushauri wako ni njia ya kuanzia.
naamini nikitumia njia ya simu itaniweka salama, hata jamaa akiwa na ghadhabu hata weza kunidhuru papo kwa hapo.
Nakushukuru.
Simu zinarekodiwa usijaribu huo mchezo utafunguliwa kesi na ushahidi utapatikana.Tafuta demu aliyeaxhwa umtafune
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…