Breaking News: Maelfu ya Vijana Wakutana Kuunga Mkono Rais Samia na Kuonya Dhidi ya Vurugu Nchini

Breaking News: Maelfu ya Vijana Wakutana Kuunga Mkono Rais Samia na Kuonya Dhidi ya Vurugu Nchini

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa!

Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na wanaharati kumaliza mambo yao kwenye meza ya mazungumzo. Wasitumie vijana vibaya na kuwapotosha.
IMG-20240922-WA0382.jpg
Pia leo tunatoa msimamo rasmi kumuomba Rais agombee tena kwa kipindi cha 2025 - 2030 na aachwe amalize kipindi chake kwa mujibu wa katiba ya nchi.
IMG-20240922-WA0388.jpg

IMG-20240922-WA0386.jpg
#SamiaTunayeTunakwendaNaye25/30
 

Attachments

  • IMG-20240922-WA1911.jpg
    IMG-20240922-WA1911.jpg
    28.4 KB · Views: 3
  • IMG-20240922-WA0387.jpg
    IMG-20240922-WA0387.jpg
    265.3 KB · Views: 3
  • IMG-20240922-WA0389.jpg
    IMG-20240922-WA0389.jpg
    258.8 KB · Views: 3
  • IMG-20240922-WA0380.jpg
    IMG-20240922-WA0380.jpg
    127.3 KB · Views: 3
  • IMG-20240922-WA0390.jpg
    IMG-20240922-WA0390.jpg
    167.8 KB · Views: 2
  • IMG-20240922-WA0391.jpg
    IMG-20240922-WA0391.jpg
    128.8 KB · Views: 3
🛑BREAKING NEWS: MAELFU YA VIJANA WAKUTANA MUDA HUU KUTOA MSIMAMO WA KWENDA NA SAMIA NA KUONYA WENYE KULETA VURUGU🇹🇿

Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa! Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na wanaharati kumaliza mambo yao kwenye meza ya mazungumzo. Wasitumie vijana vibaya na kuwapotosha. Pia leo tunatoa msimamo rasmi kumuomba Rais agombee tena kwa kipindi cha 2025 - 2030 na aachwe amalize kipindi chake kwa mujibu wa katiba ya nchi.

#SamiaTunayeTunakwendaNaye25/30
Vijana wa CCM Dar, eneo lao la kukutana ni lilelile.
Kwanini wengine kwao iwe ruksa kukutana huku wengine iwe ni marufuku?
 
Back
Top Bottom