Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo madogo wamenunuliwa maji ya chupa, bando la twenty na tusoseji tuwili tutatuHii nchi inachekesha sana .
Hawa ni wahuni wameokotwa wanatumiwa tu, hovyo kabisa...Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa!
Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na wanaharati kumaliza mambo yao kwenye meza ya mazungumzo. Wasitumie vijana vibaya na kuwapotosha.
Pia leo tunatoa msimamo rasmi kumuomba Rais agombee tena kwa kipindi cha 2025 - 2030 na aachwe amalize kipindi chake kwa mujibu wa katiba ya nchi.
#SamiaTunayeTunakwendaNaye25/30
Serikali za mtaa , huoni huo ni ukumbi. Unadhani kuna mtu anaweza tumia ukumbi bila kibali? Na imeonekana dhamira yao si ovu ndio maana wameachiwa. Chadema wanaonyesha hovyo.Kibali cha kusanyiko hilo wamekitoa wapi???
Hawa ni wahuni wameokotwa wanatumiwa tu, hovyo kabisa...
View: https://youtube.com/watch?v=YcKLC0hcCv8&si=msogod5C2kJf2CWC
Baada ya hapo wanajiona wamemaliza kila kitu in life ..aseeeHapo madogo wamenunuliwa maji ya chupa, bando la twenty na tusoseji tuwili tutatu
Upumbavu mtupu! Kuna mambo mengine yanakera sana! Kwa hiyo hao wametoa kibali wapi???? Kuandamana sio hisan ya mtu ni haki ya kikatiba waache uchawa na njaa! Hao wote ni njaa inawasumbua
Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa!
Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na wanaharati kumaliza mambo yao kwenye meza ya mazungumzo. Wasitumie vijana vibaya na kuwapotosha.
Pia leo tunatoa msimamo rasmi kumuomba Rais agombee tena kwa kipindi cha 2025 - 2030 na aachwe amalize kipindi chake kwa mujibu wa katiba ya nchi.
#SamiaTunayeTunakwendaNaye25/30
Kila siku nasema hapa, waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.Kuishi Tz ni laana
Kaa kwenu moshi au hamaKuishi Tz ni laana
Inasikitisha sana mkuuKaa kwenu moshi au hama
Hii nchi inachekesha sana .
Hii double standards italeta shida tuna kiełek waUpumbavu mtupu! Kuna mambo mengine yanakera sana! Kwa hiyo hao wametoa kibali wapi???? Kuandamana sio hisan ya mtu ni haki ya kikatiba waache uchawa na njaa! Hao wote ni njaa inawasumbua