kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Ubaya ubwela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
stupid as stupid is🛑BREAKING NEWS: MAELFU YA VIJANA WAKUTANA MUDA HUU KUTOA MSIMAMO WA KWENDA NA SAMIA NA KUONYA WENYE KULETA VURUGU🇹🇿
Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa! Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na wanaharati kumaliza mambo yao kwenye meza ya mazungumzo. Wasitumie vijana vibaya na kuwapotosha. Pia leo tunatoa msimamo rasmi kumuomba Rais agombee tena kwa kipindi cha 2025 - 2030 na aachwe amalize kipindi chake kwa mujibu wa katiba ya nchi.
#SamiaTunayeTunakwendaNaye25/30
Umeshapanic 😂stupid as stupid is
stupid as stupid isUmeshapanic 😂
Hapo Tanga mtaandamana? 😂😂😂stupid as stupid is
ajabu yake hao hao kuna siku watatekwa, na watahitaji chadema wawapazie sauti. mimi sio mwanachadema, ila hoja ya chadema kuhusu utekaji ina mashiko yote.🛑BREAKING NEWS: MAELFU YA VIJANA WAKUTANA MUDA HUU KUTOA MSIMAMO WA KWENDA NA SAMIA NA KUONYA WENYE KULETA VURUGU🇹🇿
Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa! Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na wanaharati kumaliza mambo yao kwenye meza ya mazungumzo. Wasitumie vijana vibaya na kuwapotosha. Pia leo tunatoa msimamo rasmi kumuomba Rais agombee tena kwa kipindi cha 2025 - 2030 na aachwe amalize kipindi chake kwa mujibu wa katiba ya nchi.
#SamiaTunayeTunakwendaNaye25/30
Watu, vijana wameacha kufikiria kwa kutumia ubongo now wanafikiria kwa kutumia makalio.🛑BREAKING NEWS: MAELFU YA VIJANA WAKUTANA MUDA HUU KUTOA MSIMAMO WA KWENDA NA SAMIA NA KUONYA WENYE KULETA VURUGU🇹🇿
Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa! Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na wanaharati kumaliza mambo yao kwenye meza ya mazungumzo. Wasitumie vijana vibaya na kuwapotosha. Pia leo tunatoa msimamo rasmi kumuomba Rais agombee tena kwa kipindi cha 2025 - 2030 na aachwe amalize kipindi chake kwa mujibu wa katiba ya nchi.
#SamiaTunayeTunakwendaNaye25/30
Hiki ni kile kikundi cha Rapid Force cha UVCCM.Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa!
Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na wanaharati kumaliza mambo yao kwenye meza ya mazungumzo. Wasitumie vijana vibaya na kuwapotosha.
Pia leo tunatoa msimamo rasmi kumuomba Rais agombee tena kwa kipindi cha 2025 - 2030 na aachwe amalize kipindi chake kwa mujibu wa katiba ya nchi.
View attachment 3103241
#SamiaTunayeTunakwendaNaye25/30
Utafikiri you mean what you are saying keyboard warrior?Tokeza kesho utajua hujui.Hoa Mbwa muwaambie wakae nyumbani kupikia watoto...Huu ni MTITI wa kupigania HAKI msi lete umama mama kwenye mambo MAZITO YANAYO VUJA DAMU!!!
Hawa wanakutana kwa nia njema, nyie mmeamua kutafuta ugomviVijana wa CCM Dar, eneo lao la kukutana ni lilelile.
Kwanini wengine kwao iwe ruksa kukutana huku wengine iwe ni marufuku?
Saga chupa umeze au kanunue kamba kwa Mangi utajua la kufanya.Jina linaoonyesha umebakiza nguvu ya kusukuma mavi.stupid as stupid is
We mpikie mmeo wababa kesho Tunakuwakilisha ...unaumia unateseka ?Utafikiri you mean what you are saying keyboard warrior?Tokeza kesho utajua hujui.