TANZIA Brother Peter Lyimo, aliyekuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Majengo-Moshi amefariki Dunia

Poleni shirika la Christian brothers kwa kupungukiwa na mmoja kati yenu...
 
Mkumbwa mzee wa kemia nae alishatutangulia kumbe?
 
Woooi kumbe hivyo tuu😂😂 Haya pole kwa kubeba hilo zigo chuki kwenye moyo wako, utakua unachoka sana. Mimi Mmwenzio hata sikuwahi kukujua ndio leo naona hii ID
Lay down woman ohoooo!
 
Da aisee huyu mwalimu ndo alinifanya leo kuwa baba mzuri wa familia pia na huu mkate ninao upata kwa sasa ni matunda ya usimamizi wake mzri. Mwl mwingine ni MKUMBWA KICHAWELE', SENDORO,SAFARI Kuna mmoja anaitwa TERITERI. RIP brother
Wazazi wako walikushindwa?
 
Aisee you are a wonderful archiver. Such a clean kept note[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2]. Happy that your former Headmaster was such a kind man. May his soul Rest In Eternal Peace. Amen
Aamen.

Kuanzia nimeanza shule nimetunza documents zangu zote hadi leo tena kwa hali ya usafi.

Check receipt niliyofanyia malipo term moja baada ya kupewa kibali na Brother PL.
 
Aaamen.
 
Dah soo sad...alikuwa anapenda wanafunzi sana,
Alikuwa ni mtu wa watu.
nakumbuka alikuwa hapendi mwanafunzi kuwa Na ndefu...A K.A mzuzu...RIP legend....
Alivyohamishwa kuna siku akatembelea MJ niliona video wanafunzi wakiandamana kumtaka asiondoke & arudi kuwa mkuu wao, Ilibidi Polisi waje kumsaidia aondoke maana wanafunzi walizingira gari lake pande zote.

Hakika amepokelewa mbinguni na baba muumba.
 
RIP Brother Peter Lyimo,nakumbuka ukiapisha viongozi waliochaguliwa na wanafunzi ulikua unasema "Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…