JK ?! Una maana JK aliyeachia mchakato wa katiba uharibike pamoja na mabilioni ya pesa kupotea ??!! You must be joking !!naona Mama anajaribu kuishi kama JK....good progress..
Angalizo: afahamu tu hawezi kumridhisha kila mtu...
Huyo ni Chui aliyevalia ngozi ya chadema na kuficha madoadoa ya chui wa Lumumba🏃⛹️We jamaa una roho za kimaskini sana.
We kamanda wa lumumba uliyechoka.
Yes CCM ni ile ile but sidhani kama SSH anatamani ushindi wa 90% kma mwenzake ama majimbo yote yaende CCM!! that's the difference.
Nyie akili zenu finyu kweli!!Tofauti ni zito Kabwe alikutana na Samia akaanza kuzungumzia kuhusu Chadema badala ya kuzungumzia maada waliyoendea pale Dodoma!Lissu kakutana na Samia wamezungumzia ya Chadema na Ccm au serikali, ktk hilo hamna shida yeyote
kuna mijitu mijinga kweli, rejea press ya ikulu ya nani kaomba kuonana na nani. MMM na Maria wanawashika makalioTofautisha Rais wa kwenye kongamano na Rais wa kukutana face to face. Rais katumia nafasi ya ubelgiji kuonana na kiongozi mkuu wa CHADEMA, what's the problem. Naona watu wamekasirika kuona Lissu kaongea na Rais tena nje ya nchi, maana huku ndani walikuwa wamebana asionane na CHADEMA.
Chawa chonganishi mmeanza kuteseka na wivu wenu wa mkyundu waziYaani kitu kidogo tu tuanasahau madhira yanayotukumba kila mwaka nenda rudi. Tumeshakuwa kama maboya yasiyojitaambua kabisa.
Leo naona kila kona mayoweee kibao. Makelele kibao mkiulizwa je kuna tija gani kwa chama chetu na watanzania kwa ujumla hakuna jibu.
Mnatia aibu sana.
Hao ni chawa chonganishi kuna masilahi yatatoweka wajipange kivingineAnayechukia Tukio la Leo hatufai kabisa.
Naona ukiona picha hii unahalisha kabisaLini mlishakuwa na hoja za maana zaidi ya ushabiki tu.
Acha ujinga ndugu! Rais katumia zaidi ya saa moja kumsikiliza Lissu na kuzungumza (sio kuhutubia) juu ya mambo mengi kulingana na aliyoyaleta Lissu kwa manufaa ya Tanzania kwa ujumla tena wakiwa ugenini.Yaani kitu kidogo tu tuanasahau madhira yanayotukumba kila mwaka nenda rudi. Tumeshakuwa kama maboya yasiyojitaambua kabisa.
Leo naona kila kona mayoweee kibao. Makelele kibao mkiulizwa je kuna tija gani kwa chama chetu na watanzania kwa ujumla hakuna jibu.
Mnatia aibu sana.
PhD, unakosea sana kujitambulisha kwa utambulisho huo maana unatupotosha kwa kudhani tutakuta umeandika ya maana kumbe ngumbaru!kuna mijitu mijinga kweli, rejea press ya ikulu ya nani kaomba kuonana na nani. MMM na Maria wanawashika makalio
FAM atakumbukwa kwa kujipa UWENYEKITI wa CDM wa maisha na kutumia chama kama mradi wa kumuinguzia pesaCDM hawawezi kuja kupata kiongozi kama FAM. Mbowe atakumbukwa vizazi na vizazi vya wapenda haki na demokrasia ya nchi hii.
Huko ndiyo kuomba msamaha kwenyewe sasa. Njia yeyote ya Mbowe kutoka rumande bila hukumu au kutoroka (jailbreak) ndiyo inaitwa msamaha.Nashangaa bado mnalazimisha Mbowe aonekane mkosaji bila kutuambia kosa lake ni lipi?
Kama Lissu kwenye mkutano wake na Samia amemwambia Mbowe aachiwe huru bila masharti yoyote hapa sioni tatizo lolote, hiki ndicho Chadema wanachokitaka, sio kutuma washenga wapeleke habari ya kuomba msamaha.
Sema according kwa uelewa wangu.Huko ndiyo kuomba msamaha kwenyewe sasa. Njia yeyote ya Mbowe kutoka rumande bila hukumu au kutoroka (jailbreak) ndiyo inaitwa msamaha.
Alichoongea TUNDU LISSU na aluchoongea Zitto Kabwe ni sawa kasoro mpangilio wa maneno