Uko sahihi kabisa. Kuna watu inafaa mama aachane nao. Simon Sirro awekwe pembeni, amemuaminisha mama uongo juu ya kesi ya Freeman Mbowe hadi mama akaongea na BBC (chombo cha kimataifa), kwamba Mbowe ni gaidi.Tatizo la samia ni dogo tu bado anafuga majitu fulani yaliyo kuwa yanatumiwa na magufuli kuumiza watu
Unaonekana unaumia sana kwa Rais kukutana na Tundu Lisu, vumilia tu bado kuna mengi yanakuja.hizo porojo zitaishia hapohapo kwenye kikao,tatizo lopolopo anafikiria samia huyu ni kama yule aliyemtembelea hospitali.
Hata asipotengeneza kabla ya 2025, anaweza kutengeneza kabla ya 2030, Tanzania bado ipo sana mkuu.Asichokielewa Lissu ni kwamba Chief Hangaya anataka kuendelea kuwa Rais baada ya term hii, kwa gharama yoyote ile. Kwahiyo, kufikiria kwamba Chief Hangaya somehow atatengeneza a level playing field kabla ya uchaguzi wa 2025 ni kujipa matumaini hewa!
Amekuelewa kweli?Yes CCM ni ile ile but sidhani kama SSH anatamani ushindi wa 90% kma mwenzake ama majimbo yote yaende CCM!! that's the difference.
Na safari ikapitia Ufaransa kwanza maana ingekua straight Ubelgiji, ingekua wazi mno.Baada ya kuona kesi ya ugaidi inaenda kumchimbia kaburi la kiutawala kimataifa ndio akafunga safari kwenda kutafuta pakutokea kwa Tundu Lisu, hahahahaha na bado
Mbona una hasira???Wale waliokuwa wanagomea vikao na serikali hapa nchini wanachanganyikiwa, Lissu level nyingine, anajua maana ya Siasa, tofauti na mburura zilizo hapa nchini.
Zitto kabwe alisema mapema, Chadema wakambeza, Sasa Lissu anafata muelekeo wa ZZK, anaachana na Chadema wenye mawazo mgando, ya kizamani, wanaimba katiba tu kama kasuku, mwenzao anaozea jela, wao wanakusanya Hela wanagawana.
Kama nyie wanaume mshambulieni Lissu mitandaoni tuone
Hivi ulitegemea press iandikwe vinginevyo!? Huyo ni Rais wa nchi lazima awe respected kwa kuiweka hivyo ilivyowekwa.kuna mijitu mijinga kweli, rejea press ya ikulu ya nani kaomba kuonana na nani. MMM na Maria wanawashika makalio
Jina linaakisi fikra zako.Tulia mafundi wa Siasa wawachezeshe. CCM chama bora kabisa Cha kisiasa katika Afrika, political score, mlisubiri kushinda kortini mpate political mileage? Sasa imekuwa hijacked
Uelewa wako ni mpana sana. Hustahili kupewa nafasi ya U-DC.Ukweli ni kwa Samia ndiyo aliyetaka kukutana na Lissu na wameweka hivi kwa heshima tu. Hii safari ya kutoka France haikuwa na ulazima hakuna mkataba wowote wala nini lengo ni kumuona Lissu lakini kisiasa ni lazima Lissu aseme ndiye aliyeomba. Mama ameona ukweli baada ya kudanganya kwenye issue ya mbowe hasa na IGP sirro ndiyo maana wame set up kamati ya kumtimua Sirro. Ukweli ni kwamba Mama anampenda Lissu kuliko zamani kuanzia hata wakati wa Magufuli Hii ndiyo ilikuwa tofauti yao kubwa. Hata safari ya kenya ya kumuangalia Lissu Mama alilazimisha . Ni ngumu sana kumchukia Lissu very likable guy na clean. Lakini kwa uelewa wangu Chadema walikataa kukutana kama group na wengine hawajawahi kukutana na Raisi moja kwa moja.
Sijui kama wanakuelewa.Kuna Utaratibu upo ndani ya Chama Tawala kusifia chochote anachosema au kufanya Mwenyekiti wao.Toka Enzi za Baba wa Taifa, chini ya kauli mbiu ya "Zidumu Fikra za Mwenyekiti"
Ni jambo jema kusifia,lakini ni vizuri tuwe na msimamo! Leo Rais kakutana na Wapinzani unasifia,kesho amekataa kukutana nao unasifia pia! Tusiwe watu wa njia mbili,mpaka hatujulikani tunachokiamini na kukisimamia.
Tusifie kimantiki,sio kwa adhima ya kumfurahisha unayemsifia ili ujenge ukaribu na mazingira ya kupewa wadhifa!
Mungu ibariki Tanzania
Cc Ritz Crimea chinembe Pulchra Animo... UVCCM waitishe na maandamano ya kupongeza kabisa kama kawaida yao.
Lissu hajawahi kuwa na shida na Samia, ilikua ni suala la muda tu. Aliyemfanya Lissu awe nje ya nchi unamjua.Baada ya MH. Rais Samia kukutana na Tundu Lisu huko Ubeligiji ni dhahiri shahiri sasa uhasama ulio kuwapo kati ya Lisu na Serikali umeisha.
Picha zinaonyesha Lisu akiwa na furaha na tabasamu lisilo kifani mbele ya Rais Samia ni ishara tosha kuwa amemaliza chuki na uhasama.
Sasa ni wakati wa wanachama wote wa Chadema tuunge mkono Serikali hii ya awamu 6 chini ya Amiri Jeshi Mkuu Mama yetu Samia Suluhu Hassa.
Mungu Ibariki Tanzaania.
Mwambie asubiri Judge atakavyoiainisha hiyo kesi kesho tr 18/02/2022.Hapa unajiona msomi wa sheria kumbe mjuaji wa KAWAIDA SANA. Tuoneshe point ya mens rea iliyothibidtishwa na seruskali toka kwa Mbowe.
Msg kwamba Mbowe na URIO walichart kwako ndo mens rea inapostand? Au maelezo ya onyo yaliyokanushwa na washtakiwa ndo mens rea ulipoiona?
Wewe kiwango chako cha kuelewa mambo ya sheria ni cha Inspector Swila.Orodha ni ndefu acha mawasiliano tu
Miamala
Kutafuta watu
Vitendea kazi
And so forth
Tatizo wapelelezi walikuwa na haraka tu ya kumtia hatiani, au mission ilikuwa abandoned wakaona wafungue kesi kwa ushahidi hafifu huo huo walionao.
But clearly the intention to commit a crime was there.
Good Morning
Hiki ni kitendo cha kiuungwana mno, kwa hili mama kula TANO za kwangu.Kuweka sawa. Mara ya kwanza alikutana na TL akiwa kwenye kitanda cha maumivu tarehe 28 Novemba, Nairobi Hospital nchini Kenya.
Jana, walikutana Brussels, Ubelgiji.
Tuache siasa pembeni. SSH ameonesha ni binadamu kindaki ndaki.
Tusirithi maadui.
View attachment 2121935
Mtihani gani hapo? Wewe macho lakini huwezi kuonaNdiyo maana huwa mnafail mitihani .....!!