theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Kitendo cha Mh. Mbowe kunyoosha mkono mahakamani tafsiri yake ilikuwa amekubali yaishe ni tofouti na watu wa nje walivyoitafasiri..The next thing ni hakimu wa kesi ya mbowe atamuachia huru Mbowe soon
Wala kwa Bavicha sio uchungu ni Uvccm waliokuwanasema Rais hawezi kuonana na msaliti wa nchi.Hiii habari chungu sana kwa Bavicha
Japo unaandika kwa ushabiki wa kishamba ila ujue baada ya huyo Samia kuapishwa CHADEMA waliandika barua ya kuonana na Rais lakini hawakuitwa.Wale waliokuwa wanagomea vikao na serikali hapa nchini wanachanganyikiwa, Lissu level nyingine, anajua maana ya Siasa, tofauti na mburura zilizo hapa nchini. Zitto kabwe alisema mapema..
Wale waliokuwa wanagomea vikao na serikali hapa nchini wanachanganyikiwa, Lissu level nyingine, anajua maana ya Siasa, tofauti na mburura zilizo hapa nchini. Zitto kabwe alisema mapema, Chadema wakambeza, Sasa Lissu anafata muelekeo wa ZZK, anaachana na Chadema wenye mawazo mgando, ya kizamani, wanaimba katiba tu kama kasuku, mwenzao anaozea jela, wao wanakusanya Hela wanagawana.
Kama nyie wanaume mshambulieni Lissu mitandaoni tuone
Hayo mengine ni maoni yako na mawazo ni yako na keyboard ulioishika ni ya simu yako. Andika unachokitaka kwa hiyo msaliti mliyekuwa mnasema hawezi kuonana na Rais sio msaliti tena.Samia rais wa watu,za chini chini ni kuwa lissu amempigia magoti na kumbembeleza Sana mama Samia amuhurumie Dj Mbowe na ikiwezekana amwachie huru,keep calm wafuasi wa Mbowe huenda wakatabasamu this week.
Samia rais wa watu,za chini chini ni kuwa lissu amempigia magoti na kumbembeleza Sana mama Samia amuhurumie Dj Mbowe na ikiwezekana amwachie huru,keep calm wafuasi wa Mbowe huenda wakatabasamu this week.
TBC ipo kwaajili yenu kaa kwa kutulia.Wengine tunatumia free basic jaribu ku summarize nazungumzia Yao kwa maandishi
Mzee mzima naona umesinyaa ghafla kwa masikitiko. Hukutegemea hili litatokea. Utakufa kwa kihoro mzee wewe. Bado nakuhakikishia kuna mengi yanakuja na mwaka huu lazima uokoke, ukasali kwa Kakobe.Hiii habari chungu sana kwa Bavicha
Kwa muelekeo wa ushahidi gani waliotoa mpaka Sasa?Samia rais wa watu,za chini chini ni kuwa lissu amempigia magoti na kumbembeleza Sana mama Samia amuhurumie Dj Mbowe na ikiwezekana amwachie huru,keep calm wafuasi wa Mbowe huenda wakatabasamu this week.
Elewa jambo, Lissu kaomba kuonana na Samia akakubaliwa, Chadema Tz licha ya kumuandikia barua Samia ya kuonana nae walijibiwa watapangiwa siku lakini hiyo siku haikuwahi kufika, usikurupuke tafakari kwanza ndio uandike.Wale waliokuwa wanagomea vikao na serikali hapa nchini wanachanganyikiwa, Lissu level nyingine, anajua maana ya Siasa, tofauti na mburura zilizo hapa nchini. Zitto kabwe alisema mapema, Chadema wakambeza...