BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi

Jaji hatatoa uamuzi, mwanasheria wa serikali ataondoa shauri kabla ya uamuzi, mmekula sana Hela zetu kwa kisingizio Cha kumchangia Mbowe, Maria sarungi ana mabilioni kayaficha kwa kisingizio anakusanya Hela za Mbowe za kesi
Sorry this is low!
 
Nyota njema inaibukia Tanzania wiki hii!
Tumwombee Rais SSH hekima na busara airudishe nchi katika mstari.
 


Ukweli unauma Lissu ajamfuata Mama bali Mama kamfuata Lissu safari yote kutoka France lengo la siri ni hili. Vyombo vingine vya usalama hasa IGP alikuwa anasingizia siasa kwa kazi mbovu anayofanya
 

Mkuu, wa namna hii waache! Uhasama inaonekana kwao kuwa ni “value” kama bidii, heshima nk. Unaweza ukaona upopoma - “Bavicha” hakutajwa popote katika taarifa ya ikulu lakini inatajwa kwa sababu kuna ulazima wa kuleta drama!!
 
Mbowe akitoka maabusu atamfukuza uanachama Lisu

Ndio siasa za roho mbaya mlizofundishwa na mwendazake?. Uwe na aibu basi, mnapenda siasa za kuuana na kutekana. Huo mida haupo umeisha. Tunataka tuishi kwa kuheshimiana kama watanzania na kila chama kupewa haki yake.
 
Kuna mambo unatakiwa uyaangalie. Lissu yuko nje kwa kuhofia serikali ambayo mkuu wake ni Samia. Serikali inasemwa na Lissu huko ughaibuni na hii ni mbaya inatia doa. So, hii ina maana kuna uadui. Kwa kukutana kwao kuna faida kubwa kwetu sote ila wenye akili za mbuzi watashambulia tu vyama na kupandikiza chuki. Huu ni upumbavu sana.
Tuangalie tukio kwa upana na sio kiushabiki
 
Yaani kuna watu wanaichukia chadema hadi basi kwahiyo unadhani ccm mtamnunua Lissu?
 
Bavicha hawana la kuomgea zaidi ya kuona giza angekuwa Zitto kakutana na Rais kama Lissu JF ingechafuka kwa matusi.
 
Ukweli unauma Lissu ajamfuata Mama bali Mama kamfuata Lissu safari yote kutoka France lengo la siri ni hili. Vyombo vingine vya usalama hasa IGP alikuwa ana singizia siasa kwa kazi mbovu anayofanya
Acha kujitoa ufahamu kamanda. Rais Samia anahudhuria kikao cha AU-EU kinachohusisha viongozi wengi wa Africa. Kubali tu kuwa Lisu katumia fursa kujipendekeza na kupiga magoti.
 
Ahsante Rais wetu kwa kuonyesha upendo.
Sasa wanachadema mnapaswa mjue kua siasa sio UADUI.
Tulijenge Taifa letu kwa pamoja tusonge mbele.
 
Angekubali kosa tena ugaidi si ni magereza straight? Jidanganyeni wenyewe, sisi no. Essence ya kumstaki ilikuwa akubali Kisa ili aachiwe huru au ni kumfunga? Hangaya alitakaga hadharani kwamba wenzake Mbowe walishafunga yeye tuu ndo kabaki.
 
Ni ushindi kwa Chadema au Ushindi kwa CCM iliyopo madarakani?
 
Pongezi nyingi sana kwa Mh. RAIS kwa Mazungumzo yako na Mh TUNDU LISSU huo ni Mwanzo Mwema wa NCHI YETU kurudi alipoiacha BABA wa TAIFA.

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Samia rais wa watu,za chini chini ni kuwa lissu amempigia magoti na kumbembeleza Sana mama Samia amuhurumie Dj Mbowe na ikiwezekana amwachie huru,keep calm wafuasi wa Mbowe huenda wakatabasamu this week.
Kwahiyo unathibitisha yale madai ya kwamba mahakama zetu Tanzania hazipo huru?
 

Hakuna lolote. Imebidi CCM wa bow down kwa CHADEMA. Maana CHADEMA wamestick kwenye msimamo wao bila kuyumba.
 
Hiyo salamu ya kupigana viwiko mmh!
Halafu badaae tena mnashikana mikono duh.
 
Hapo sawa, tunataka kiswahili chetu kitumike. Nashauri Heading ya uzi iwe, "Lissu akubaliwa kuzungumza na Rais Samia S. Hassan, mazungumzo yafanyika"
Kama hujui ni the opposite. Rais Samia akubaliwa kuzungumza na Tundu Lisu na mazungumzo yamefanyika. Kama hujui mazungumzo yaliyofaka ndiyo nafasi ambayo mama amekuwa akiitafuta kwa udi na uvumba ili kusafisha mapungufu ya kiongozi aliyonayo. Bahati mbaya polisi bado wanakinukisha huku bongo. Kama Raisi hatafanya independent assessment kuhusu madhira yanayotokana na polisihapa nchini, hata hizo juhudi anazohangaika nazo zitakuwa kazi bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…