Mbowe hakuomba kesi iishe, bali aiitaarifu Dunia kuwa Serikali ya Tanzania imewanyima chakula washitakiwa wa kesi bambikizi kwa muda miezi 5 mfululizo.Kitendo cha Mh. Mbowe kunyoosha mkono mahakamani tafsiri yake ilikuwa amekubali yaishe ni tofouti na watu wa nje walivyoitafasiri..
Mbona Pasaka anailia nyumbani kwake mwaka huu..