Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa hiyo Mahakama zinasikiliza SAMIA anataka nini?Samia rais wa watu,za chini chini ni kuwa lissu amempigia magoti na kumbembeleza Sana mama Samia amuhurumie Dj Mbowe na ikiwezekana amwachie huru,keep calm wafuasi wa Mbowe huenda wakatabasamu this week.
SijuiLEMA ni nani hasa???
Na leo katuwakilisha watanzaniaAlimwakilisha Rais wa wakati huo . Dr. Magufuli.
Wale waliokuwa wanagomea vikao na serikali hapa nchini wanachanganyikiwa, Lissu level nyingine, anajua maana ya Siasa, tofauti na mburura zilizo hapa nchini. Zitto kabwe alisema mapema, Chadema wakambeza, Sasa Lissu anafata muelekeo wa ZZK, anaachana na Chadema wenye mawazo mgando, ya kizamani, wanaimba katiba tu kama kasuku, mwenzao anaozea jela, wao wanakusanya Hela wanagawana.
Kama nyie wanaume mshambulieni Lissu mitandaoni tuone
Swiiilaaa na Boaz wajiandae wakalimeView attachment 2121279
Samia ni mtu mwema! Sasa zamu ya mbowe kutoka jela! na kutumbuliwa mapolisi wakiofanya uhuni huu
Hiii habari chungu sana kwa Bavicha
Hutaki kajinyongenaona Mama anajaribu kuishi kama JK....good progress..
Angalizo: afahamu tu hawezi kumridhisha kila mtu...
Hii ni aibu kwa msajili wa vyama na system ya Tanzania kumbania Mh. Rais kukutana na Chadema. Ona sasa Mama kawageuka kakutana na Lissu.Wale waliokuwa wanagomea vikao na serikali hapa nchini wanachanganyikiwa, Lissu level nyingine, anajua maana ya Siasa, tofauti na mburura zilizo hapa nchini. Zitto kabwe alisema mapema, Chadema wakambeza, Sasa Lissu anafata muelekeo wa ZZK, anaachana na Chadema wenye mawazo mgando, ya kizamani, wanaimba katiba tu kama kasuku, mwenzao anaozea jela, wao wanakusanya Hela wanagawana.
Kama nyie wanaume mshambulieni Lissu mitandaoni tuone
Acha fitna weweSasaa hivi Lissu ataitwa msaliti
Maridhiano kuhusu nini?CHADEMA mtawakuta ACT WAZALENDO huko kwenye siasa za maridhiano walishatangulia.
Utakufa na nongwa. Yeye afuatwe afu aombe kukubaliwa?!Hapo sawa, tunataka kiswahili chetu kitumike. Nashauri Heading ya uzi iwe, "Lissu akubaliwa kuzungumza na Rais Samia S. Hassan, mazungumzo yafanyika"
Kitendo cha Mh. Mbowe kunyoosha mkono mahakamani tafsiri yake ilikuwa amekubali yaishe ni tofouti na watu wa nje walivyoitafasiri..
Mbona Pasaka anailia nyumbani kwake mwaka huu..
Lissu ashambuliwe kwa kosa gani?Wale waliokuwa wanagomea vikao na serikali hapa nchini wanachanganyikiwa, Lissu level nyingine, anajua maana ya Siasa, tofauti na mburura zilizo hapa nchini. Zitto kabwe alisema mapema, Chadema wakambeza, Sasa Lissu anafata muelekeo wa ZZK, anaachana na Chadema wenye mawazo mgando, ya kizamani, wanaimba katiba tu kama kasuku, mwenzao anaozea jela, wao wanakusanya Hela wanagawana.
Kama nyie wanaume mshambulieni Lissu mitandaoni tuone
Alimwakilisha Rais wa wakati huo . Dr. Magufuli.
CHADEMA mtawakuta ACT WAZALENDO huko kwenye siasa za maridhiano walishatangulia.
Kwanini ulipotea humu wakati wa MaguSasaa hivi Lissu ataitwa msaliti