Kama hivi?Kwa hiyo Lissu kaombwa sana kwa baruaa akutane na RAIS
si ndio?
🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hivi?Kwa hiyo Lissu kaombwa sana kwa baruaa akutane na RAIS
si ndio?
🤣🤣🤣🤣
Sasa kwanini ilingojwa akina Swila, Urio na wenzao wajidhalilishe kiasi kile!?The next thing ni hakimu wa kesi ya mbowe atamuachia huru Mbowe soon
This was well known before.
Lissu tafadhali!!! Please!!! keep distance and put on your barakoa! Usije ukasababisha presha kwa "watu"!!!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia, amekutana na kufanya Mazungu na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Tindu Lissu...
Utangoja sanaTutasikia hivi karibuni kuwa Lisu ameunga mkono juhudi, maana si kwa tabasamu hilo!!!!!
Hata hueleweki wewe naweKitu nilichojifunza kwenye maisha shida ambazo zinaniumiza mimi maamuzi ya kujinasua yabaki yangu pia....
Mnajitahidi kweli KUHAMISHA GOLI!CHADEMA mtawakuta ACT WAZALENDO huko kwenye siasa za maridhiano walishatangulia.
Utaelewa siku utakayopata matatizo halafu usikilize ushauri wa Lissu akikwambia kamanda komaa hakuna ku negotiate na serikali wakati yeye anakata shawarma na kutupia picha.Hata hueleweki wewe nawe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Bavicha akili zenu mnakabidhigi kwa wanasiasa zote!Utangoja sana
Kwani Mbowe kawekwa jela na nani?Kwamba walio mzabua Risasi Lissu ni Ccm una maanisha hivyo.
Samia ndio aliyeomba kukutana na Lissu.The next thing ni hakimu wa kesi ya mbowe atamuachia huru Mbowe soon
This was well known before.
Siasa za Tanzania ni kituko mkuuNi kama unaiba kwa mtu 100m halafu unamfunga jela. Akisema na kukubali haujaiba chochote kwake, anakutoa jela na kukupa 5m sharti usizungumzie100m.
Watu wanashangilia. Haki ingekuwa kupewa 100m yako plus interest na waliokudhulumu, kukufunga wawajibishwe. Uruhusiwe kuendelea na kazi zako kama kawaida. Ngoja tuone hii movie.
Mbowe kaingiaje kwenye swali languKwani Mbowe kawekwa jela na nani?
😆😆😆USSR Ame-comment huu uzi!