BullDoza Mwamposa Ana Powers za Mvuto wa Ajabu, Aleta Balaa Kubwa Kawe na Maeneo ya Jirani, Mkesha Wake, Kawe, Mikocheni, Mbezi Beach, Wote Tumekesha!

Hawa wanafuata mtu, na mwamposa mfano akafa ndio mwisho wa kanisa lake, angalia Yule mama Lwagatare unasikia habari za kanisa lake tena?

Kwa mwamposa watu wanafuata yeye kama yeye hawamfuati Mungu wala neno la Mungu. ni sawa na watu wanavyo wafuata waganga wa kienyeji.
 
Hawa wanapewa Bahasha,
 
Wewe ndio unamuitia mods kijanja kwann unamtag active??
Hebu toa hiyo tags, mi bro nimemuelewa na kuanzia ss hivi nitakuwa namfatilia.!!
Watu aina yake sio wanafki ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ We sio mtu mzuri humtakii mwenzio mazuri
 
Nilikuwa nina kesi mahakamani nimeshinda Mkuu mwamposa sio tapeli
Mkuu ni Imani tu na Imani sio mtu km Mwoposa Imani ni Wewe na kile unachokiamini kwa hio wewe unaamini nini Mwoposa anaweza kukuponyesha HIV Sugu tukutafute tukudunge sindano yenye virus uone km vitaondolewa na yule Bwana vikishaingia kwenye mfumo wako wa Damu
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Mkuu nipe tofauti ya kuamini na imani
 
KUKAA KIMYA NALO JIBU
MUNGU NIFUNDISHE KUNYAMAZA
BY MARTHA MWAIPAJA
 
Anajua common issues so anapita mulemule na mtu mwenye shida serious uwa akili yake haifanyi kazi kabisa, kuna jamaa yangu yupo mkoani anaamini karogwa kisa alipata ajali mguu ukavunjika na mambo hayaendi solution yake eti jana kaja kwa mwamposa wakati nilimwambia badiri mbinu za utafutaji kaniona fala nasubiria atakachovuna katumia gharama kibao kuja kutapeliwa ila kwa kulia lia hana kitu na maisha magumu.
 
Mimi nimeisha shinda kesi kibao sijatumia mwamposa wala nini, wadanganye wengine
MI NA KESI 2 NILIPANGUA KWENYE MAOMBI 12

WAACHE WAUMINI TUAMINI MUNGU ANATOTENDA YATATU NAPANGUA 25JUL

NIMEOIGIWA NIPELEKE NA MADAI YOTE NILIYOTUMIWA MKUU MUNGU ANAJIBU MADHABAHU YA KAWEE
 
Sina ugomvi na mkesha wao, nina ugomvi na aina ya watu tunaozidi kuwajaza ujinga kuhus the so called Mitume na manabii. Huu ndio mtaji wa CCM na nina imani kuwa hapa kulikua na ajenda ya CCM nyuma yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ