Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
Bora yao kuliko nyinyi manoana demu ameisha laliwa na wanaume zaidi ya 20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binti yako wa umri wa miaka 9 unaweza kumuoza kwa mwanaume kama Baltasar?hivi kwa mujibu wa sayansi umri gani unafaa kuolewa?, maana mabibi zetu wengi huku Afrika walikuwa wanaolewa katika umri wa miaka chini ya 15
Binti yako wa umri wa miaka 9 unaweza kumuoza kwa mwanaume kama Baltasar?
Si atamuua?!
Unawaza kuingiliana na kulalana tu. Shubamiit.Bora yao kuliko nyinyi manoana demu ameisha laliwa na wanaume zaidi ya 20
Pitia hapo..Kwa mujibu wa sayansi, ni umri gani unaofaa kumuozesha binti yako?
Pitia hapo..
👇
AT LEAST WAIT UNTIL YOUR BRAIN STOPS GROWING
“There is a certain maturity level that a person reaches where they will likely succeed in their marriage, and it usually happens after age 25,” says Alicia Taverner, owner of Rancho Counseling. “In my practice, I see couples who are on the verge of divorce . . .they married before they found themselves and before they had the experiences that come with the ‘singledom’ of your 20s.”
From a scientific standpoint, the frontal lobe is the last part of the brain to mature, and that maturity can happen as late as age 25 or even 30. Life decisions made prior to age 25 can be problematic because they’re made without a fully developed ability to reconcile moral and ethical behavior.
In other words, teen and very young marriages are typically doomed to fail.
Statistically, an individual who marries at age 25 is more than 50 percent less likely to get divorced than is someone who marries at age 20.
Mungu wangu!!!Kama yeye anataka kuolewa kwa nini nimkataze?
Asisahau kwa elimu ya bongo miaka 9 tunaongelea mtoto wa darasa la tatuUnaweza kukubali binti yako wa miaka 9 kuolewa ??
🤣🤣🤣UTAWASIKIA,,TAKBIRRRRR,YA SHANGAZI BIN MAANDAZI YA MBAAZI BIN NAZI,,,SUBIRI WAVAA VIBAKULI KICHWANI WAJE😂😂😂
anaolewa lakini hatumikiHivi mtoto wa miaka 9 hisia za mapenzi anakuwa nazo kweli!?
😯
Acheni upumbavu wa mudianaolewa lakini hatumiki
Kwasababu yalifanyika zamani, haimaanishi ni sawa, kwaio kama walikuwa wanakeketana na sisi tufanyie hivo watoto wetu wa kike?we jamaa umekuaje?
mbona zamani ulikua na michango mizuri? hata kama jamii za zamani walioza watoto na miaka 9 kwa dunia ya sasa ni ushenzi. na hata zama hizo mabinti hawakua wakifurahia lakini hawakua na jinsi. zipo stori za mabibi zetu walilazimishwa kuolewa na miaka 10 walikua wakienda huku wakilia. wanakatishwa makuzi yao ya utoto na kwenda kumtumikia mume. huo wote toka enzi ni ukatili dhidi ya watoto
Haya kasome kitabu cha mudy na wewe uwe unakunywa mikojo ya ngamia.