Bunge la Iraq lajadili mpango wa kuruhusu ndoa za utotoni, kushusha umri wa mabinti kuolewa hadi miaka 9

Bunge la Iraq lajadili mpango wa kuruhusu ndoa za utotoni, kushusha umri wa mabinti kuolewa hadi miaka 9

Vyombo vya habari vya kimataifa na wanaharakati wa haki za binadamu wameishutumu vikali Iraq kwa muswaada unaojadiliwa na bunge la nchi hiyo unaokusudia kushusha umri wa wanawake kuolewa kutoka miaka 18 hadi kufikia miaka 9, wanaharakati wa haki wanasema muswaada huu ni mbovu mno na huku ni kurudisha nyuma hatua kiasi zilizofikiwa za haki za wanawake katika taifa hilo.

View attachment 3147454
Huo ndo Uislam sasa, safi sana Iraq.
 
Kwa mujibu wa sayansi, ni umri gani unaofaa kumuozesha binti yako?
We jamaa punguza ufala bac mtoto wa miaka tisa bado hajakomaa, hajakomaa mwili, hajakomaa akili, hajakomaa kimawazo hadi awe mke wa mtu.

Watoto wa kike wanapevuka kuanzia miaka 8 hadi 13, baada ya 13 ndo wanakuwa angalau wame Develop kidogo but je wanafaa kuwa wake? HAPANA.

Viungo vyao bado vidogo sana kushahimili kufanya mapenzi na watu wazima, wengine wanaumia hadi wanachukia kufanya mapenzi, wengi wanapata michubuko na vidonda hadi vagina zao zinakuwa disfigured.

Mke wa miaka 9 wewe atakusaidia nn?? Hajui hata kula vizur, hata kujisafisha vizur hawez, hata kujisimamia hawez.


Au ndo mnaiga ile mudy na Aisha?
 
Vyombo vya habari vya kimataifa na wanaharakati wa haki za binadamu wameishutumu vikali Iraq kwa muswaada unaojadiliwa na bunge la nchi hiyo unaokusudia kushusha umri wa wanawake kuolewa kutoka miaka 18 hadi kufikia miaka 9, wanaharakati wa haki wanasema muswaada huu ni mbovu mno na huku ni kurudisha nyuma hatua kiasi zilizofikiwa za haki za wanawake katika taifa hilo.

View attachment 3147454
PEDOPHILIA ilianzishwa na mood mwenyewe. sijui wanaona raha gani kuwalala watoto wadogo.
 
Nyinyi makondoo mpaka demu anaolewa ujue huyo ameishashindikana
Sio kuhusu wewe kupata mwanamke ambaye hajatumika, ni kuhusu watoto kuwa salama.

Uchoyo umekufumba macho. Unawaza upate, upate, upate mpaka huwezi tena kuwalinda watoto sababu ukiwatazama unaona uchi ambao haujatumika.

unakuwa fisi, tamaa inakuwaka sababu ubongo unawaza kupata ambacho hakijatumika. Dini hizi, Shubamiiit..
 
Sio kuhusu wewe kupata mwanamke ambaye hajatumika, ni kuhusu watoto kuwa salama.

Uchoyo umekufumba macho. Unawaza upate, upate, upate mpaka huwezi tena kuwalinda watoto sababu ukiwatazama unaoma **** ambayo haijatumika.

unakuwa fisi, tamaa inakuwaka sababu unatanguliza kupata ambacho hakijatumika. Dini hizi, Shubamiiit..
Nyinyi makondoo mademu zenu wachafu kwa tabia na kwa kila kitu mpaka kinyaa! Jana kafiri mwenzenu amesema ukweli mkamkataa
 
Vyombo vya habari vya kimataifa na wanaharakati wa haki za binadamu wameishutumu vikali Iraq kwa muswaada unaojadiliwa na bunge la nchi hiyo unaokusudia kushusha umri wa wanawake kuolewa kutoka miaka 18 hadi kufikia miaka 9, wanaharakati wa haki wanasema muswaada huu ni mbovu mno na huku ni kurudisha nyuma hatua kiasi zilizofikiwa za haki za wanawake katika taifa hilo.

View attachment 3147454
Serikali ya Tanzania inaruhusu Watu kuuza na kunywa pombe lakini haimaanishi kila Mtanzania ni mlevi, ila Sheria ya kukuzuia usinywe haipo ni wewe na maamuzi yako.

Iraq inachotaka kufanya ni kuondoka huo mbano , msichana awe huru akiona anataka kuolewa kuanzia umri huo ruksa, hii itaondosha uzinzi uliojaa kwakua watu wamebanwa sanaa na sheria kandamizi ya miaka 18. Naunga mkono muswada huo, Msichana akitaka kuolewa kuanzia umri huo na aolewe. Uzuri ndoa katika Uislamu haipiti bila ridhaa ya muolewaji, kwanini umsubirishe mtu na karidhia kuolewa kisa hajafika miaka 18 lakini mwili na afya yake vinamruhusu!?..

Leo hii Tanzania inawasichana wangapi ambao wamepewa mimba wakiwa shule ya msingi!?, Au wakiwa sekondari ambao ni umri kuanzia miaka 10, 11, 12 na kuendelea.
 
Karibu ndugu yangu

Ni kweli imekaa kipropaganda lakini sasa tujiulize ni halali kuoa mtoto mwenye umri huo?

Ivi kitoto cha miaka tisa si unakijua lakin
Mbona wanajazwa mimba kesi kibaoo Tanzania hii au hamzionagi!?. Wasichana kuacha shule za msingi kisa ujauzito. Hao Huwa wanamiaka 18 !?.

Juzi si Kuna Msichana wa form one kafungiwa ndani na jamaa, form one ana miaka 18!?.
 
Serikali ya Tanzania inaruhusu Watu kuuza na kunywa pombe lakini haimaanishi kila Mtanzania ni mlevi, ila Sheria ya kukuzuia usinywe haipo ni wewe na maamuzi yako.

Iraq inachotaka kufanya ni kuondoka huo mbano , msichana awe huru akiona anataka kuolewa kuanzia umri huo ruksa, hii itaondosha uzinzi uliojaa kwakua watu wamebanwa sanaa na sheria kandamizi ya miaka 18. Naunga mkono muswada huo, Msichana akitaka kuolewa kuanzia umri huo na aolewe. Uzuri ndoa katika Uislamu haipiti bila ridhaa ya muolewaji, kwanini umsubirishe mtu na karidhia kuolewa kisa hajafika miaka 18 lakini mwili na afya yake vinamruhusu!?..

Leo hii Tanzania inawasichana wangapi ambao wamepewa mimba wakiwa shule ya msingi!?, Au wakiwa sekondari ambao ni umri kuanzia miaka 10, 11, 12 na kuendelea.
Mtoto wa darasa la nne anaweza kufanya maamuzi sahihi ya kuridhia kuolewa? Wewe mtoto wako wa miaka 9 akija kukuambia anataka kuolewa na li pedophile hata la miaka 30 utamkubalia??
 
Mbona wanajazwa mimba kesi kibaoo Tanzania hii au hamzionagi!?. Wasichana kuacha shule za msingi kisa ujauzito. Hao Huwa wanamiaka 18 !?.

Juzi si Kuna Msichana wa form one kafungiwa ndani na jamaa, form one ana miaka 18!?.
Watoto wa shule ya msingi kujazawa mimba na mabaradhuli/pedophiles ni jambo moja, kukubali waolewe kabisa kisheria huku watu wenye akili timamu mnashangilia mnakula maandazi, tende na ubwabwa ni jambo lingine kabisa.
 
Mtoto wa darasa la nne anaweza kufanya maamuzi sahihi ya kuridhia kuolewa? Wewe mtoto wako wa miaka 9 akija kukuambia anataka kuolewa na li pedophile hata la miaka 30 utamkubalia??
Kwahy bint Yako wa darasa la nne akija amepewa mimba na mtu wa miaka 30 utaitoa kwakua hajafika miaka 18!?. Au hiyo mimba haitokaa kwakua hajafika miaka 18!?.
 
Nyinyi makondoo mademu zenu wachafu kwa tabia na kwa kila kitu mpaka kinyaa! Jana kafiri mwenzenu amesema ukweli mkamkataa
Sio kuhusu wewe, sio kuhusu mimi, sio kuhusu uislamu au ukristo. Ni kuhusu watoto wasioweza kujilinda dhidi ya tamaa za watu wazima.

Who cares about who you have tied a knot with? Who you have got hitched? This is to do what is right for the powerless.

Hakuna anayejali kuhusu unayemtomba, unayetaka kumtia au utakayetiana nae as long as sio mtoto. Umepata bikira, umepata mshangazi au single mama au malaika as long as sio mtoto no one cares.

Shubamiit.

Yani watoto waolewe ili wanaume aina yako na ndevu zenu mpate mabinti ambao hawajaingiliwa au kuchezewa ili muwamwagie shahawa kabla wengine hawajawamwagia?

USHENZI KWELI.
 
Kwahy bint Yako wa darasa la nne akija amepewa mimba na mtu wa miaka 30 utaitoa kwakua hajafika miaka 18!?. Au hiyo mimba haitokaa kwakua hajafika miaka 18!?.
Jikite kwenye ndoa, hata mtoto wako akija kukuambia alibakawa na akapata mimba hatuwezi kuhalalisha ubakaji.
 
Mbona wanajazwa mimba kesi kibaoo Tanzania hii au hamzionagi!?. Wasichana kuacha shule za msingi kisa ujauzito. Hao Huwa wanamiaka 18 !?.

Juzi si Kuna Msichana wa form one kafungiwa ndani na jamaa, form one ana miaka 18!?.
Unachozingumzia wewe hapo ni uhalifu kama vijana wengi wa mitaan kuwa wezi na wapiga Kabali

Kwahiyo unataka tanzania turuhusu kabali kwa sababu hata kama tusiporuhusu kabali tutapigwa tu
 
Unachozingumzia wewe hapo ni uhalifu kama vijana wengi wa mitaan kuwa wezi na wapiga Kabali

Kwahiyo unataka tanzania turuhusu kabali kwa sababu hata kama tusiporuhusu kabali tutapigwa tu
Pedophiles wana hoja za ajabu ajabu sana
 
Vyombo vya habari vya kimataifa na wanaharakati wa haki za binadamu wameishutumu vikali Iraq kwa muswaada unaojadiliwa na bunge la nchi hiyo unaokusudia kushusha umri wa wanawake kuolewa kutoka miaka 18 hadi kufikia miaka 9, wanaharakati wa haki wanasema muswaada huu ni mbovu mno na huku ni kurudisha nyuma hatua kiasi zilizofikiwa za haki za wanawake katika taifa hilo.

View attachment 3147454
Waislam wanatamaa sana ya ngono Kwa kisingizio Cha dini yote hiyo wamelenga kuharibu mabinti wa familia masikini maana hakuna baba mwenye uwezo kifedha akaruhu mwanaume wa umri wake amuingilie Binti yake wa miaka 9
 
Umri sahihi ni miaka 14 au 15. Miaka 9 hapana kwa kweli
 
Back
Top Bottom