Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hakuna mtu mwenye mpango naloBunge lenyewe la CCM nan anampango nalo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtu mwenye mpango naloBunge lenyewe la CCM nan anampango nalo.
.....PERIOD....Tunataka Katiba Mpya
Kawadanganye mazuzu wenzakokilio chenu kimesikika bado mmeanza kuleta sababu zingine yaani akili zenu mnazijuwa wenyewe ni sawa na demu unaingia naye mpaka gest halafu anakuuliza humu tunakuja kufanya nini?
Wanatuona sisi ni wajinga kama waoNani ataangalia bunge la Chama kimoja ?
Wewe ni sawa na sisimizi tu kwenye maamuzi ya wanao dai katiba mpya.hata mkipewa katiba mpya mtakuja na lingine maana hamueleweki kabisa nyie bora tuwapuuze tu
Pumbafyaani nyie hamnaga hoja za maana zinazowahusu wananchi wa hali ya nchini mnachojali ni siasa ambazo wengi haziwasaidii sana bei ya vitu kupanda siyo agenda yenu maisha bora kwa mtanzania siyo agenda yenu mnacho haha nacho ni katiba mpya ambayo haileti unafuu wa maisha kwa mtanzania zaidi ya uchiu wenu wa madaraka tu
Sawa bunge live ndiyo kilio cha Chadema.
Kupanda bei vitu na kukatika umeme siyo jambo la maana sana kwao
Wanyama huwa hawana kumbukumbu ya madai yao.sasa mlikuwa mnataka bunge live la nini kama mnaona ni la chama kimoja sikuna mbunge wenu mmoja wa kuchaguliwa huko?
kilio chenu kimesikika bado mmeanza kuleta sababu zingine yaani akili zenu mnazijuwa wenyewe ni sawa na demu unaingia naye mpaka gest halafu anakuuliza humu tunakuja kufanya nini?
Sawa bunge live ndiyo kilio cha Chadema.
Kupanda bei vitu na kukatika umeme siyo jambo la maana sana kwao
Ceremonial Parliament nani anataka hata kusikiliza?. Labda wafia Kijani kama wewe..Sawa bunge live ndiyo kilio cha Chadema.
Kupanda bei vitu na kukatika umeme siyo jambo la maana sana kwao
Afukuzwe kwani kuna hata anayetambua kama yuko bungeni?mfukuzeni kwanza yule mbunge wenu wa nkasi ndiyo mseme kuwa hakuna wapinzani bungeni la sivyo mnapayuka tu
Ni upotevu wa pesa ya wananchi. Wanajiita wabunge wakati hakuna aliyewachagua.Vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vitaanza kurushwa live. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma, Katibu wa Bunge. Ndg. Nenelwa Mwihambi.
Nenelwa amesema baada ya maboresho ya Studio ya Bunge na Kamati ya Uongozi ya Bunge kuridhia vikao vya Bunge vitaanza kurushwa live kuanzia kesho tarehe 05 Aprili 2022 wakati Mkutano wa Saba wa Bunge mahsusi kwa ajili ya kupitisha Bajeti ya Serikali utakapoanza Bungeni Jijini Dodoma.
Januari mwaka 2016, waziri wa habari wa wakati huo, Nape Nnauye alitoa tangazo bungeni la kusitisha matangazo ya Bunge ya moja kwa moja akitoa sababu ya kupanda kwa gharama kwenye shirika la utangazi la Taifa(TBC) zilizofikia bilioni 4.2 kwa mwaka.
Nape alisema TBC ilikuwa ikigharamia matangazo ya Bunge kwa kutumia vyanzo vyake vya mapato kama matangazo madogo ya kibiashara. TBC katika kupunguza gharama na kubana matumizi ikaona busara kurusha baadhi ya matangazo live na mengine kurekodiwa kisha kurushwa kwenye kipindi maalum usiku ambayo ingewapa pia fursa watanzania walio wengi kwani mchana huwa wana kazi za kiofisi au ujenzi wa Taifa.
PIA, Soma=>TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)
Kweli hamna kumbukumbu, wakati mwingine kujua wanasaccos mnataka Nini haiwezekani.Bunge live lisilo na upinzani halina maana.