Bunge Live larudi. Kuoneshwa kuanzia Aprili 5, 2022 katika mkutano wa saba wa Bunge la Bajeti

Bunge Live larudi. Kuoneshwa kuanzia Aprili 5, 2022 katika mkutano wa saba wa Bunge la Bajeti

all is nonsense, virudi visirudi ni takataka! Why? as long as waliomo humo hawana uhalali wa kuwa huo kwa udikiteita wa magufuli, virudi visirudi all is RUBBISH!
DA mnaumia sana kutokuwemo bungeni halafu wewe utakuwa ni msigwa wewe
 
Afukuzwe kwani kuna hata anayetambua kama yuko bungeni?
kama wewe humtambui kwanza hata mbowe hakujui ambaye yeye anamjua ndiyo maana kamuacha hamuongelei aendelee ili achukue ruzuku
 
hata mkipewa katiba mpya mtakuja na lingine maana hamueleweki kabisa nyie bora tuwapuuze tu
Nakushauri sali sana japo upate akili za kupandia kitandani kulala, tofauti na hapo uzee wako utakuwa wa aibu tupu!
 
kama wewe humtambui kwanza hata mbowe hakujui ambaye yeye anamjua ndiyo maana kamuacha hamuongelei aendelee ili achukue ruzuku

Mbowe mwenyewe hachukui hiyo haramu ndio itakuwa huyo mbunge?
 
Nakushauri sali sana japo upate akili za kupandia kitandani kulala, tofauti na hapo uzee wako utakuwa wa aibu tupu!
ona unao waabudu walivyo na njaa na vigeugeu wanawaona kama wapumbavu fulani tu na nyinyi mnakubali

1649144747881.png


2878995_images_9.jpeg
 
Sawa bunge live ndiyo kilio cha Chadema.
Kupanda bei vitu na kukatika umeme siyo jambo la maana sana kwao
Kikubwa kayaca kafa, mimi furaha tele, hata mkate ufike 30,000 poa tu ili mradi Jiwe hayupo mimi sawa tu.
 
Hii nchi ina unafiki sana, na hili atasingiziwa JPM kwamba ndo alizuia, kumbe waliozuia wapo humohumo ndo wananafikia sasa!!
Umesahau Jiwe mwenyewe alisema yeye ndiye alimtuma Waziri husika(Nape) kuzuia bunge live?
 
Sawa bunge live ndiyo kilio cha Chadema.
Kupanda bei vitu na kukatika umeme siyo jambo la maana sana kwao
Kama wanaoongoza nchi hayo uliyoyataja hawayaoni kama ni mambo ya muhimu, chama cha upinzani ndio kione yana umuhimu, wakati hawakusanyi kodi?!!
Kwa sasa hata liwe live halina cha maana!!
 
Hapana, nimemwambia asichukue. Kama vipi weka bank statement yao wanavyochukua huo mpunga.
Kalaga baho! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yani unataka Mbowe akichukua akwambie nmechukua?

Miaka yote alikuwa anakuonesha slip kwamba nmechukua?


Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Kalaga baho! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yani unataka Mbowe akichukua akwambie nmechukua?

Miaka yote alikuwa anakuonesha slip kwamba nmechukua?


Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app

Wakati ule niliona slip ya kuchukua, ndio maana nataka ww uweke hiyo slip ya kuchukua safari hii. Kinyume na hapo kaa kwa kutulia.
 
Back
Top Bottom