Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Tunakuja na evidence tulieni tuNaziunga mkono na miguu pia
Mataga mnachemkaaaaaMtandao wa YouTube umeelezea kuwa zaidi ya watu milioni 600 duniani kote walifuatilia hotuba ya Rais Magufuli leo akilivunja bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, aidha zaidi ya mataifa 80 duniani kote walikuwa online kufuatilia kile alichokuwa anahutubia bungeni leo, marais 50 duniani kote waliungana na mtandao wa online kusikiliza hotuba ya Rais Magufuli ambapo Waziri Mkuu wa uingereza Borris Johnson leo alizuia shughuli zote za kiserikali kwa muda wa masaa matano mpaka hotuba ilipikamilika, Waziri Mkuu wa India, Waziri Mkuu wa ujerumani Angel Merkel, Rais wa China, Rais wa Russia na Donald Trump waliungana na mamilioni ya wananchi kutoka sehem mbalimbali duniani kuskiliza hotuba ya Magufuli leo, Katika tovuti moja nchini Thailand leo imemtangaza Rais Magufuli kama Rais bora wa karne hii ya 21 huku jarida la siasa na uchumi nchini Uingereza limemtangaza Rais Magufuli kama "Genius" wa maendeleo na problem solver...
Watanzania Mungu ametubariki kuwa na Rais Kama Magufuli tuna imani na Magufuli,VIVAAA Magufuli VIVAAAA.....
View attachment 1480672
Kwa ujinga huu sitakaa nibishane na nyie kamweChadema watachukia wakati hii ni fahari ya Tanzania kuwa na kiongozi anayekubalika duniani kote.
Roho inaumia!Kwa ujinga huu sitakaa nibishane na nyie kamwe
Hahahaha. Tumieni akili kidogo, mnataka mseme alimzidi Lissu? Kipindi cha Lissu kilifuatiliwa na watu 300mRoho inaumia!
Yaani Lissu awe na umaarufu kuliko JPM? Speech yake kuhusu sampuli za papaya na mbuzi ni gumzo duniani pote.Hahahaha. Tumieni akili kidogo, mnataka mseme alimzidi Lissu? Kipindi cha Lissu kilifuatiliwa na watu 300m
Hahahaha hayaYaani Lissu awe na umaarufu kuliko JPM? Speech yake kuhusu sampuli za papaya na mbuzi ni gumzo duniani pote.
Tuwekee hapa zako zilizokamilikaAwamu hii imekuwa ni bingwa wa kupika takwimu kwelikweli na kutoa data zisizo na uhalisia...hivyo viwanda vimekuwa vikijengwa kwenye makaratasi lakini huku mtaani havipo,ndege 11 zipo kweli zimenunuliwa na zinaonekana...kwa hiyo mkuu kwa kuwa ndege 11 zipo basi unataka ndo ziwe proof ya takwimu zozote zinazotolewa na serikali tuziamini...Mtu anayekwambia makusanyo ya kodi yameongezeka,miradi mikubwa tunajenga kwa fedha zetu wenyewe na kuwa sisi no donor country wakati hapohapo deni la taifa linaongezeka...haihitaji hata elimu ya darasa la saba kugundua siasa za uongo uongo na janjajanja kama hizi
Unajua viwanda wewe, kutengeneza vyungu vya kupikia unaita viwanda.
Hakuna yeyote duniani ambaye anaweza kupoteza muda wake kumsikiliza huyo kichaa, ni MATAAHIRA tu wa Lumumba ambao hawana la kufanya ndiyo wanamsikiliza.
Maneno ya kanga hayo ni sawa na ya kusema upinzani utakufaThread yako inatoa kumbukumbu nzuri ya matukio.
Hili litakuwa ni bunge la mwisho lenye wabunge wengi wa upinzani.
Hali halisi inaonyesha bunge lijalo litakuwa na wabunge wachache sana wa upinzani huku likiongozwa na KUB mpya!
π πKuchaa ni wewe usiyejieelwa unaishi kwa dadako
Eti ajira 6m.labda za machinga na bodaboda hapo sawa
Hawa utumia propaganda ili kunasa akili za mateja.Hata za machinga hazifiki hata 500K
Huna akili wewe.Ukiamua kumsikiliza mtu ambaye mwanzoni ulikuwa hupendi na hutaki kumsikiliza ujue umemuelewa au umeanza kushawishika na maneno yake!
Wabunge Makamanda ya kupinga kila kitu hatimaye leo wamekaa Bungeni kumsikiliza Mh Rais. Wametambua kuwa Wananchi hawawaelewi na pia wanatafuta hisani kwa serikali.
Niliwahi kuandika humu Washauri wote waliokuwa wanamshauri Mbowe kufukuza Wabunge na viongozi mwisho wa siku watamkimbia. Yametokea Rombo na sasa baada ya hili Bunge kuvunjwa watamkimbia ama kuhamia CCM au hawatagombea kabisa kwa madai wanapunzika kumbe ni kukosa matumaini ya ushindi.
CHADEMA kwasasa kumebaki kikundi cha maslahi sio moyo wa Chama. Madiwani na Wabunge hawatagombea tena uchaguzi huu na walioko makao makuu ruzuku ikishuka watakimbia wote!
Muda utatuambia