Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

Wale wabunge wakususia Leo hawajatoka??
 
Nacheki hapa Mkulu akitoa hotuba ya kufunga Bunge. Najaribu kuangalia kwa umakini hizi takwimu anatema kama anasoma mahali,sioni kwa kweli au ni mimi tu?Mr President ni hatari kwenye kumeza maandishi walah..makofi kwake tafadhali.
 
Wizara zinatakiwa ziingizwe kwenye katiba ili mtu asije kujiamlia tu na kutunga Wizara
 
Nacheki hapa Mkulu akitoa hotuba ya kufunga Bunge. Najaribu kuangalia kwa umakini hizi takwimu anatema kama anasoma mahali,sioni kwa kweli au ni mimi tu?Mr President ni hatari kwenye kumeza maandishi walah..makofi kwake tafadhali.
Mkuu anasoma hotuba hicho kioo unachokiona mbele yake kinaitwa teleprompter ye anaona hotuba pale anasoma walioko nyuma hawaoni hebu tazama macho yake muda wote yametazama hicho kioo
 
Huyo ni geneus mkuu alizoea kumeza equations za chemia na physics aje ashindwe kumeza propaganda za siasa kweli..

#the best president in Africa.. viva JPM
 
Nacheki hapa Mkulu akitoa hotuba ya kufunga Bunge. Najaribu kuangalia kwa umakini hizi takwimu anatema kama anasoma mahali,sioni kwa kweli au ni mimi tu?Mr President ni hatari kwenye kumeza maandishi walah..makofi kwake tafadhali.
Unaona hicho kiio kimewekwa hapo mbele yake .... kina kazi yake ..wacha kukurupuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…