tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Kwahiyo huo ni upinzani au kikundi cha wadada wa tot band ccm,ndio awamu iliyojaa wajingaThread yako inatoa kumbukumbu nzuri ya matukio.
Hili litakuwa ni bunge la mwisho lenye wabunge wengi wa upinzani.
Hali halisi inaonyesha bunge lijalo litakuwa na wabunge wachache sana wa upinzani huku likiongozwa na KUB mpya!