Hebu acha kulinganisha pesa na vitu vya kijinga eti π π π π πKuna mtu mmoja tuliwahi bishana humu, anasema heri kutokuwa na nguvu za kiume (jogoo hawiki) ila uwe na pesa. Sikumbuki ni nani.
Nilishangaa sana mpaka nilihisi huenda si rizki.
Kama unaweza kupiga nyeto basi nguvu za kiume unazo..Bora uwe na hela
Nguvu unaweza tengeneza hata feki au ukapiga nyeto
Mi hela kwangu muhimu maana nguvu haziwezi kukutibu au kulipa gharama za maisha
Huu ulikuwa Ni utunzi tu wa nyimbo,haya maneno aliyoimba Wala hayana uhusiano na uhalisia"Nasifiwa kwa mapenzi na mademu/
wanapagawa mpaka wananiita haaaaandsoomee"
Huyo steflon don't Mimi pre ejaculation moja tu angeitwa mama siku nyingi sanaView attachment 2345023
Steflon Don; ni staa mkubwa wa muziki nchini Uingereza ambaye hivi karibuni amezua sintofahamu baada ya kudai kuwa ex wake ambaye ni staa muziki nchini Nigeria, Burna Boy hana uwezo wa kumridhisha mwanamke kimapenzi.
Kwa mujibu wa Steflon Don, hiyo ndiyo sababu iliyomfanya kuvunja uhusiano wake wa kimapenzi na staa huyo mkubwa barani Afrika.
Steflon Don alisema;
βNilimwacha Burna Boy kwa sababu hakuweza kunipa ujauzito na kubwa zaidi hakuwahi kuniridhisha kitandani kwa sababu performance yake kitandani ni mbovu sana.β
Baada ya kauli hiyo ndipo Burna Boy akajibu yafuatayo;
βNi kweli sina nguvu za kiume (jogoo hawiki) na siwezi kumpa ujauzito mwanamke, lakini nina pesa kwangu hii inatoshaβ¦β
Bila shaka π―.tunaishi kwa ajili ya wanawake.jiulize bila wanawake dunia ingekuwaje?Kwani tunaishi kwaajili ya wanawake tu?
Lakini mbona jamaa anaonekana mtu wa zoezi sana, hii ishu ya nguvu za kiume inazidi kuwa sugu kwenye jamii, ila mipombe nayo wanayokunywa inawamaliza.
Akikujibu nitag hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani tunaishi kwaajili ya wanawake tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu acha kulinganisha pesa na vitu vya kijinga eti [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kabisa...kun ammoja nilimlaga tigo tukajaga kubwagana...sii akaanza sema eti sijatahiriwaπ€£π€£π€£π€£Hizo ni kashfa za kawaida demu akiachwa.
"Pesa haina maana kama shughuli huna mwanamke atakukimbia "..Bora nipewe vyote nguvu na pesa.nikiambiwa nichague kimoja nitachagua nguvu.pesa haina maana Kama shughuli huna mwanamke atakukimbia tu.
Atapata mahitaji yote ya kifedha,kula vizuri,kulala vizuri,kuvaa vizuri.sasa kwenye mahitaji ya kimwili hapo ndipo utasaidiwa hadi na gardener
"Pesa haina maana kama shughuli huna mwanamke atakukimbia "..
Bro unaijua stress ya kutokuwa na hela
yaani njaa ikupige, unadharauliwa na ndugu hadi mbwa wa mtaa wanakubwekea ukipita kwa jinsi unavyonuka shida, madeni kila kona na hata hujui usiku utakula nini,
hizo nguvu za kumaar sex unatolea wapi
Huyo bado mtoto hajui kwa nini
Wahenga walitunga msemo adui muombee njaa.
Kukosa pesa maana yake ni njaaa . Sasa anafananisha njaa na sex
Sasa huo NI UFUKARA"Pesa haina maana kama shughuli huna mwanamke atakukimbia "..
Bro unaijua stress ya kutokuwa na hela
yaani njaa ikupige, unadharauliwa na ndugu hadi mbwa wa mtaa wanakubwekea ukipita kwa jinsi unavyonuka shida, madeni kila kona na hata hujui usiku utakula nini,
hizo nguvu za kuwaza sex unatolea wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanashangazaa kweli humu ndani."Pesa haina maana kama shughuli huna mwanamke atakukimbia "..
Bro unaijua stress ya kutokuwa na hela
yaani njaa ikupige, unadharauliwa na ndugu hadi mbwa wa mtaa wanakubwekea ukipita kwa jinsi unavyonuka shida, madeni kila kona na hata hujui usiku utakula nini,
hizo nguvu za kuwaza sex unatolea wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanakukataa na mtazamo wako. PoleeeeeeehSasa huo NI UFUKARA