Mimi Simba damu hakuna kundi rahisi hata kidogo.
Makundi yote ni magumu.
Msiichukulie poa Asec Mimosa na ,waidad Casablanca.
Simba inahitaji kujipanga Kweli.
Tuliwahi kushinda goli mbili huko ugenini Botswana, wakaja kutupiga Tatu kwa mkapa.
 
Kama Yanga tutapasua makundi, basi fainali inatuhusu mwaka huu.

Kwaupande wangu kundi D ndio kundi la kifo.
Mungu ijaalie Yanga, [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
 
Yanga hatuna iyo mentality. Sisi tunakupigia mpira kwako na kwetu hatunaga uwanja wa away kama unabisha waulize tp mazembe
 
Kama Yanga tutapasua makundi, basi fainali inatuhusu mwaka huu.

Kwaupande wangu kundi D ndio kundi la kifo.
Mungu ijaalie Yanga, [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
 
Mimi Simba damu hakuna kundi rahisi hata kidogo.
Makundi yote ni magumu.
Msiichukulie poa Asec Mimosa na ,waidad Casablanca.
Simba inahitaji kujipanga Kweli.
Tuliwahi kushinda goli mbili huko ugenini Botswana, wakaja kutupiga Tatu kwa mkapa.
Tatizo la simba huwa wanawahi kuridhika saaana, inakera kinoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…