Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Pamoja mkuu,naona tunaenda kucheza bingwa wa CAF CL Al Ahyl na pia tulishacheza na bingwa wa CAF CC USM AlgerNiamini mimi,Tena Ahly atapata pointi 3 kwa goli la penati nyumbani kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga ni noma