yanga ipo kundi gumu lakini itawashangaza sababu kuanzia sasa wanajua wako kwenye kundi gumu hivyo itawafanya wasidharau timu wala nafasi yoyote watakayopata
 
Jifunze kumuheshim mpinzani,huyo huyo aikupiga tatu kwa Mkapa.

Nishashinda kweny ardhi ya Waarabu mara mbili, ikiwemo USM Algers ambaye alimpiga Al Ahly kwenye mechi ya bingwa wa shirikiso na championship.

Tusiongee sana tukutane uwanjani.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wewee
Wewe hizi hesabu unapiga huku ulimfunga USMA ihefu akakubatiza
Kwahyo ihefu bora kuliko wewe?
Na
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wewee
Wewe hizi hesabu unapiga huku ulimfunga USMA ihefu akakubatiza
Kwahyo ihefu bora kuliko wewe?
Na
Ndio mpira kwani msimu uliopita alinifunga na ubingwa nikachukua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…