Kwani wapi nimesema mchezaji fulani hakucheza?Yanga kafungwa na Ihefu full stop, habari za kusema flani hakucheza hazina maana hakuna mtu alizuia wasipangwe so usilete habari za kikosi kufungwa ni kufungwa
Sasa tatizo lipo wapi ,kama kila mtu alifanya rotation.Alifanya
Na Mimi zinanichanganya sana, 😁😁
Hii logic umeleta weweAahaaaaa, Gucci gang njoo huku
Simba anajua kucheza group stage, unaweza mfunga taifa still akatoboaTuache utani usiokuwa na faida, Simba na Yanga wakiwa na kauli mbiu ya kila mtu ashinde mechi zake wote wanaingia robo fainali.
Kanuni ya group stage usikubali kufungwa Nyumbani, make sure hata awe nani anaacha point zote 3 maana yake unabeba point 9, mechi za nje hata ukipata drop moja unakwenda robo fainali, hii hesabu Al Ahaly ndio wanaiishi, ndio sababu huwakosi kwenye robo fainali.
Huyo al ahly mkali akifika kuanzia robo, huku kwenye makundi ni wakawaida maana kuna msimu aliongozwa na mnyamaKimpira ndio kundi nzuri ukiweka mkakati wa kupiga yeyote yule kwenye home ground umetobowa, hapa zinahitajika hesabu tu.
Hao Al Ahaly kwa Waarabu wenzao huwa wanakarishwa tu, utashangaa msimamo wa kundi Al Ahaly ukikuta anapigania nafasi ya Pili.
Hakuna tatizo kuhusu rotationSasa tatizo lipo wapi ,kama kila mtu alifanya rotation.
Unaweza ww ukapewa kikosi kile kile alicho cheza nacho USM Alger na husitoboe na uzuri wanakuja mwezi huu.
Huru ni mpira.
Kuna mtu alipigwa 6 sijui 8 hukoUnaona kuna matokeo ya mtu kupigwa 5-0 apo? [emoji1]View attachment 2773661
Sawa mke halali wa IHEFUBaada ya kuona groups zilizotoka Leo Kwa kweli nimesikitika sana .....then baadaye nimecheka sana
Tuseme tu Makolo mwendo wameumaliza [emoji23][emoji23] Kwa like kundi hakuna mechi watakayoshinda View attachment 2773827
Kama nyie mngefanya la maana huko Algeria mngepewa kombe, wenzenu walifanya la maana huku kwenuNa yeye alifanywa nn huko Algeria
Note that....tunakoenda hakuna penalty za mchongoSawasawa.Ila tangu mpigwe mapembe mawili na mbogo-maji mnawaza kama vichwa mmevisahau sokoni.
Kabsa mkuu.....kule kolo atatolewa bila kushinda mechi hata mojaSawa mke halali wa IHEFU
Umejuaje wakati hamjawahi kufika huko?Nani alikusimulia?Note that....tunakoenda hakuna penalty za mchongo
Hakika tumeyakanyagaKumbe waganga njaa bado mpo
Rejea history.....timu ya kwanza kwenda CAF champions group stagesUmejuaje wakati hamjawahi kufika huko?Nani alikusimulia?