Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
AahaaaaaaKila nikikumbuka Simba anapigwa na Raja alafu utopolo anakuja kumfunga kibonde anayeshuka daraja alafu kelele kibao eti tumeiheshimisha nchi .. pumbavu zenu ngojeni mtiwe adabu kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaaaKila nikikumbuka Simba anapigwa na Raja alafu utopolo anakuja kumfunga kibonde anayeshuka daraja alafu kelele kibao eti tumeiheshimisha nchi .. pumbavu zenu ngojeni mtiwe adabu kwanza
Kibonde alimfunga al ahaly super cup juzi tuKila nikikumbuka Simba anapigwa na Raja alafu utopolo anakuja kumfunga kibonde anayeshuka daraja alafu kelele kibao eti tumeiheshimisha nchi .. pumbavu zenu ngojeni mtiwe adabu kwanza
Yanga ikifuzu nini..?Tunashukuru sana kwa kukiri kuwa kundi la Yanga ni gumu, sasa Yanga ikifuzu msije na lugha nyingine
Huu ni mpira ndg, yn msipime tu kwa macho.Yanga hamtoi CR belouizdad acha utani
Acha mdomo, hatua hii hakuna kuvuka kwa kusubiria mtu ajifunge.Hapo katikati kipindi mnacheza na washuka daraja mlianza na kunenepa.
Sasa hivi tutaanza kuiona miili yenu halisi.
ahaaa sawa lile kombe la luzaaa kweli nimekumbukaMwaka jana mlisema hivihivi, tukafika fainali
Ndo mna nimesema simba na yanga wskikomaa wote wataenda robo fainali.Tuache utani usiokuwa na faida, Simba na Yanga wakiwa na kauli mbiu ya kila mtu ashinde mechi zake wote wanaingia robo fainali.
Kanuni ya group stage usikubali kufungwa Nyumbani, make sure hata awe nani anaacha point zote 3 maana yake unabeba point 9, mechi za nje hata ukipata drop moja unakwenda robo fainali, hii hesabu Al Ahaly ndio wanaiishi, ndio sababu huwakosi kwenye robo fainali.
Usma huku mfunga hapa tz alafu hapa naongea group stageKibonde alimfunga al ahaly super cup juzi tu
Unaona kuna matokeo ya mtu kupigwa 5-0 apo? [emoji1]Club Africain ni team gani kwenye medani za soka la Africa kwa kipindi hiki.? Huko Tunisia, team ni Esperence tu.
Mbwaaa kokoPoleni sana ndugu zangu Yanga,mkitoboa hilo kundi niiteni Umbwaaa
Acha kujipa hope.Naiona Robo Fainali kwa timu zetu zote mbili.
Kwa mara ya kwanza tunapeleka timu mbili Robo Fainali. Ingawa nina wasiwasi sana na kundi alilopo Simba
Ningeomba Mungu kwa ajili ya hili, sema tumezidi sana uovu...isomeke tu kuwa ikimpendeza basi na iwe nitakavyo.
🤣😅Acha mdomo, hatua hii hakuna kuvuka kwa kusubiria mtu ajifunge.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Unaleta rekodi za miaka gani tena?Angalia hapa wewe zuzu View attachment 2773651
Mwaka huu hata kombe letu la robo fainal halipo.safari ya Uto ishafika ukingoni 😀
Labda kwenye makundi ya vikoba sio ya CafclNa akimtoa je?
Uta screenshot ngapi we pimbi ?Naiscreenshot hii reply
Wewe umeongea kimashindano, sio mihemuko.Tuache utani usiokuwa na faida, Simba na Yanga wakiwa na kauli mbiu ya kila mtu ashinde mechi zake wote wanaingia robo fainali.
Kanuni ya group stage usikubali kufungwa Nyumbani, make sure hata awe nani anaacha point zote 3 maana yake unabeba point 9, mechi za nje hata ukipata drop moja unakwenda robo fainali, hii hesabu Al Ahaly ndio wanaiishi, ndio sababu huwakosi kwenye robo fainali.
Huku hakuna washuka daraja.Acha mdomo, hatua hii hakuna kuvuka kwa kusubiria mtu ajifunge.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Tena simba ss naona ndo tuna kazi kubwa sbb timu zote zinatujua na tunawajua. Kuvuka robo sio rahis km watu wengi wanavyodhaniaTatizo la simba huwa wanawahi kuridhika saaana, inakera kinoma