Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Kwakweli mtuombeeSimba itavuka na Wydad hilo halina ubishi
Ishu ipo kwa majirani zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli mtuombeeSimba itavuka na Wydad hilo halina ubishi
Ishu ipo kwa majirani zetu
Mbn alikula chuma huko huko AlgeriaUsma huku mfunga hapa tz alafu hapa naongea group stage
Zote,we ndeziUta screenshot ngapi we pimbi ?
wawaombe Ihefu siku ya kukutana na al-ahaly wacheze naoHawa vibonde wa Ihefu watatoboa?
Ngoja usije kusema hiyo timu ni dhaifu..Labda kwenye makundi ya vikoba sio ya Cafcl
Wanajitoa ufahamuMbn alikula chuma huko huko Algeria View attachment 2773662
Alikufanyaje hapa kwako ?Mbn alikula chuma huko huko Algeria View attachment 2773662
Simba atafuzu hatua ya robo fainali mengine watasema wengineMajira ya saa 9 alasiri leo kunafanyika draw ya makundi kwa timu zilizofuzu kuingia makundi.
Simba na Yanga ni timu pekee kutoka Tanzania zilizofuzu kwenye hatua hiyo ya Makundi.
Kaa hapa kupata updates zaidi.
Updates
Makundi ya Shirikisho
CAF CL
Group B
- USMA
- FUTURE
- SUPERSPORT
- Al HILAL
Group C
- ZAMALEK
- SaGRADA
- S.O.AR (GUI)
- ABU SALIM
Group D
- RIVERS UNITED
- CLUB AFRICAIN
- DREAMS FC
- APC LOBITO
CAF CHAMPION LEAGUE DRAW
- RS BERKANE
- DIABLES NOIRS (CGO)
- STADE MALIEN
- SEKHUKHUNE UNITED
GROUP A
Group B
- MAMELODY
- PYRAMIDS
- TP MAZEMBE
- FC NOUADHIBOU (MTN)
Group C
- WYDAD
- SIMBA
- ASEC MIMOS
- JWANENG GALAXY
Group D
- E.S.T
- ATLETCO PETROLIAS
- AL HILAL
- EPERENCE TUNIS
- AL AHLY
- CR BELOUUIZAD
- YANGA
- MEDEAMA FC
Kuwaonesha tu Huyo Al Ahly akija vby atapigwa..Unaleta rekodi za miaka gani tena?
Na yeye alifanywa nn huko AlgeriaAlikufanyaje hapa kwako ?
Imedebweda hawana mpira wa kasi na nguvu km miaka 2 iliyopita imepoa flani wanajiamini kupitiliza hilo ndio linawagharimu, yanga ina njaa na kiu wanapambana kuweka historia na heshima ya klabu na nchi pia.......Tena simba ss naona ndo tuna kazi kubwa sbb timu zote zinatujua na tunawajua. Kuvuka robo sio rahis km watu wengi wanavyodhania
Kumbuka ile mechi ya mtoano ilikuwa ya kuamua nani aende nani abaki,wewe ukaaungukia shirikisho mwenzako akaenda makundi.Elewa kwamba mechi za makundi hazichezwi kama zile za mtoano.
we jamaa😂😂😂😂Huko mbeleni usije ukageuka kuwa yanga anapangwa na timu mbovu
Mkuu, sijipi hope😀,Acha kujipa hope.
Hapo timu ni moja tu
Huyo uliyeshindwa kuchukua kombe mikononi mwake ndio huyu huku chini alikuwa anakaribia kushuka daraja.Mbn alikula chuma huko huko Algeria View attachment 2773662
Ngoja Jwaneng Galaxy aje apige kwenye mshono [emoji1787]Nasikia CR belouizdad wameshaanza kuagiza karanga na asali mbichi kutokea Tanzania