Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Ukisema muda sahihi unamaanisha nini?

Kwani zina masharti yake?
 
[emoji7][emoji8] ntakufinya hizo [emoji534][emoji534] na ntakuvuta hio [emoji1646] ukome kwa maumivu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah then what next? You know

California love
 
Nimemwambia huyo jamaa kwamba kama HiV hayupo aende pale ambiance nimwonyeshe mala.ya mwenye ngwengwe aende akapige kavu kavu tuone kama atakubal..hao watu wanaoongeaga sana ndo waoga ajabu
Haimaanishi ukikutana na mtu aliyeathirika unaweza kupata maambukizi,

Wapo wanandoa, wapenzi ambao mmoja ana maambukizi na mwingine hana maambukizi (Discordant couples)

Kwa yeyote mwenye maambukizi anapotumia dawa uwezekano wa kumuambukiza mtu unakuwa mdogo, ndio maana dunia kwasasa imekuja na 3, 1. 95% 2. 95% 3. 95% means baada ya mwaka 2030 tutafikia ile 100% ambapo kiwango cha maambukizi kinaweza fikia 1% duniani kote
 
Ile garage yake pale kijitonyama unaijua?

Jamaa lina sifa sana, sana...ukifika pale anaanza kujisifia eti ooh hii garage nimetumia 400m kuiweka hivi, yaan hata hujamuuliza huyu mtoto wa Kassim
Naionaga tu Zama anaipost Insta.....Yes Jamaa ni Dully Sykes aka Mr Misifa.
 
Dahh.. Huu uzi ushanikata maini leo tena nina ghairi show[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya mambo bhana.. Ukizingatia leo ni jpili acha niwe mpole.
Nenda lakini usisahau kuchukua tahadhari☺
 
Kabisa mkuu huku mbele itakuwa hatari kwa chain hii.
 

Mkuu, kumbuka Marekani ilikua inachangia sana kwenye hio elimu kwa kutumia NGO, sasa tangu huyu baradhuli aingie mamlakani Trump amekatiza hio misaada.....kwa hiyo ni Mungu tu atusaidie!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshe mie et mto mwingne mdogo mwenye afya tele, mweeeeeeeeh
Yes mkuu,wako safi,na familia nzima inajua,sababu tumemfatilia kwa karibu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…