wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Kwa katiba ya Tanzania hata ukimpa mtoto urais mtaendeshwa hovyo hovyo tu.
Hivyo usidhani mama ni dhaifu na anatumia kichaka cha jinsi.
Kuna namna anawakumbusha tu lakini si udhaifu.
Mamlala aliyonayo yanatosha kabisa kuamua lolote na hakuna atakayeleta fyoko fyoko.
Hivyo usidhani mama ni dhaifu na anatumia kichaka cha jinsi.
Kuna namna anawakumbusha tu lakini si udhaifu.
Mamlala aliyonayo yanatosha kabisa kuamua lolote na hakuna atakayeleta fyoko fyoko.