Carol Ndosi: Rais Samia aache kusisitiza kila mara kuwa yeye ni Rais mwanamke, haipendezi

Carol Ndosi: Rais Samia aache kusisitiza kila mara kuwa yeye ni Rais mwanamke, haipendezi

Kwa katiba ya Tanzania hata ukimpa mtoto urais mtaendeshwa hovyo hovyo tu.

Hivyo usidhani mama ni dhaifu na anatumia kichaka cha jinsi.

Kuna namna anawakumbusha tu lakini si udhaifu.

Mamlala aliyonayo yanatosha kabisa kuamua lolote na hakuna atakayeleta fyoko fyoko.
 
Mwana harakati na Mjasiriamali carol Ndosi kupitia kipindi cha Joto Kali la Asubuhi TV-E ameweka wazi kukerwa kwake na kitendo cha Rais Samia kila anapopata nafasi kuongea na Watanzania basi lazima aseme kuwa yeye ni Rais mwanamke na yeye ni mwanamke. Amesema kuwa amekuwa akirudia mara kwa mara kila apatapo nafasi kuwa yeye ni mwanamke wakati kila mtanzania anajua kuwa yeye ni mwanamke.

Carol Ndosi anasema kuwa Rais Samia yeye ni Rais hapaswi kuendelea kujificha nyuma ya kimvuli cha uanamke kwani hilo si jambo zuri na haipendezi kwa Rais kuwa na hofu ya uanamke wake bali anatakiwa ajue watu wanamuamini kama Rais si kama mwanamke.

Amesema pengine Rais Samia anapitia mambo mengi kwenye chama chake au kwa watu wanaomzunguka kwa sababu ya uanamke wake lakini yeye kama Rais atakiwi kuitumia kama ngao kwani yeye ni Rais na watu wanajua ni mwanamke atakiwi kuwakumbusha watu, haipendezi.

Chanzo: TV-E/E-FM
Mfalme hakosolewi
 
Huku ndo Ku enjoy uhuru wa kukosoa.

Tumetoka mbali sana.

Samia anaweza kukosolewa na Carol Ndosi.

Wakati Magufuli hata Ayubu Rioba asingeweza kukosoa.

Great ..
Tujivunie nchi yetu kwa kweli..
Tumerudi kuwa civilised nation
Huo Uhuru wako wa kujieleza unakusaidiaje ,,, kama unaowashauri hawazingatii wala kujali ushauri wako........
 
Carol Ndosi ni nani hasa? Au ndiyo yule dada mwenye stress na depression ya kutokupata teuzi kutoka kwa Rais wetu mpendwa Samia suluhu Hasan.?
 
Hivi ni bi mkubwa au bi mdogo huyu mama ssh?
 
Kwa katiba ya Tanzania hata ukimpa mtoto urais mtaendeshwa hovyo hovyo tu.

Hivyo usidhani mama ni dhaifu na anatumia kichaka cha jinsi.

Kuna namna anawakumbusha tu lakini si udahifu.

Mamlala aliyonayo yanatosha kabisa kuamua lolote na hakuna atakayeleta fyoko fyoko.
Je Kama ataamua kutumia mamlaka aliyo nayo ndivyo sivyo ???

Au Kama akiamua kutumia nafasi aliyo nayo kulipiza kisasi kwa aliokuwa na chuki nao.....

[emoji654]CONCLUSION : tuna katiba mbovu sana..( reformation of constitution is what matter most )
 
[emoji654]UPUUZI TU ....UDHAIFU WA KATIBA YETU NDIYO CHANZO CHA KUWEPO HAYA MAUZA×2 YOTE ......


NB: chief mkuda hangaya hana uwezo wa kuongoza ...
 
Hata mimi huwa naudhika sana.

Na sisi alivotuita watia mbegu. Yaani hii awamu wanaume tunadharaulika sana.
 
Ubaya uko wapi akisema hivyo?
Labda kama kuna athari zilizosababishwa na hilo ndizo tuzijadili.
 
Mwana harakati na Mjasiriamali carol Ndosi kupitia kipindi cha Joto Kali la Asubuhi TV-E ameweka wazi kukerwa kwake na kitendo cha Rais Samia kila anapopata nafasi kuongea na Watanzania basi lazima aseme kuwa yeye ni Rais mwanamke na yeye ni mwanamke. Amesema kuwa amekuwa akirudia mara kwa mara kila apatapo nafasi kuwa yeye ni mwanamke wakati kila mtanzania anajua kuwa yeye ni mwanamke.

Carol Ndosi anasema kuwa Rais Samia yeye ni Rais hapaswi kuendelea kujificha nyuma ya kimvuli cha uanamke kwani hilo si jambo zuri na haipendezi kwa Rais kuwa na hofu ya uanamke wake bali anatakiwa ajue watu wanamuamini kama Rais si kama mwanamke.

Amesema pengine Rais Samia anapitia mambo mengi kwenye chama chake au kwa watu wanaomzunguka kwa sababu ya uanamke wake lakini yeye kama Rais atakiwi kuitumia kama ngao kwani yeye ni Rais na watu wanajua ni mwanamke atakiwi kuwakumbusha watu, haipendezi.

Chanzo: TV-E/E-FM
Why haipendezi?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Huku ndo Ku enjoy uhuru wa kukosoa.

Tumetoka mbali sana.

Samia anaweza kukosolewa na Carol Ndosi.

Wakati Magufuli hata Ayubu Rioba asingeweza kukosoa.

Great ..
Tujivunie nchi yetu kwa kweli..
Tumerudi kuwa civilised nation
Amemaliza teuzi?
 
Si bure kuna kitu nyuma ya pazia...hasa huko ccm kwake..kwa hiyo anawakumbusha HATA KAMA YEYE NI MWANAMKE,LAKINI NDIE RAIS WA NCHI...NGOJA 2025 IFIKE TUTAJUA MENGI
 
Back
Top Bottom