Carol Ndosi: Rais Samia aache kusisitiza kila mara kuwa yeye ni Rais mwanamke, haipendezi

Carol Ndosi: Rais Samia aache kusisitiza kila mara kuwa yeye ni Rais mwanamke, haipendezi

Huku ndo Ku enjoy uhuru wa kukosoa.

Tumetoka mbali sana.

Samia anaweza kukosolewa na Carol Ndosi.

Wakati Magufuli hata Ayubu Rioba asingeweza kukosoa.

Great ..
Tujivunie nchi yetu kwa kweli..
Tumerudi kuwa civilised nation
Udini unakusumbua tu wewe!
 
Tunao msapoti Samia tunajua kuna makosa atafanya ni ruksa kukosolewa..
Nyinyi mnae abudu Marehemu ndo kazi kwenu ..
Marehemu keshakufa hata mkimpamba ndo keshakufa
Una akili fupi kama mavi ya asubuhi.

Sio kila anaempinga huyo mama basi ni mfuasi wa Magufuli. Na hata angekua mfuasi hilo halimuondolei haki ya kumkosoa huyo mama yenu mwenye uwezo mdogo kichwani.

Halafu unaona kufa kama big deal sana? Mtu yoyote anaeona kifo cha mwenzake ama anashangilia unajua wazi kua hana akili maana kifo ni obvious kila mtu atakufa, hata huyo mama yako kesho anaweza kua amekufa, hivyo watu wengine waje kumnanga hapa kisa kafa? Mambo ya kipumbavu kabisa.

Hope watu mngeweza kutumia akili ndogo mlizonazo kujadili hoja.
 
Una akili fupi kama mavi ya asubuhi.

Sio kila anaempinga huyo mama basi ni mfuasi wa Magufuli. Na hata angekua mfuasi hilo halimuondolei haki ya kumkosoa huyo mama yenu mwenye uwezo mdogo kichwani.

Halafu unaona kufa kama big deal sana? Mtu yoyote anaeona kifo cha mwenzake ama anashangilia unajua wazi kua hana akili maana kifo ni obvious kila mtu atakufa, hata huyo mama yako kesho anaweza kua amekufa, hivyo watu wengine waje kumnanga hapa kisa kafa? Mambo ya kipumbavu kabisa.

Hope watu mngeweza kutumia akili ndogo mlizonazo kujadili hoja.


Smart people they don't get emotional na kuanza personal insults
Watu wenye akili hujibu hoja bila kutukana...

Post zako zinaonesha anger , insults na hate...

Hoja hamna kabisa ....

The more you talk the more hate inajionesha..
 
Carol Ndosi ni opposition members
Ambae alikuwa anaogopa kujitokeza wakati wa jiwe..naona sasa ana launch her political career upya...
Acha utaaahira wakati wa jiwe ulishapita mwambie huyo Rais mwenye Maumbile ya kike ajiamini! Kwanza akumbuke maumbile yake sisis hatuna shida nayo!
 
[emoji654]UPUUZI TU ....UDHAIFU WA KATIBA YETU NDIYO CHANZO CHA KUWEPO HAYA MAUZA×2 YOTE ......


NB: chief mkuda hangaya hana uwezo wa kuongoza ...
Katiba sio issue issue ni uzalendo! Misaafu ipo kuzuia maovu lakini kila siku mnafanya maovu! Nchi inatakiwa ijenge uzalendo hata katiba ikija mambo yanakuwa mazuri! Unaona Kenya yanayoendelea ni ukabila tu licha ya katiba yao!
 
Smart people they don't get emotional na kuanza personal insults
Watu wenye akili hujibu hoja bila kutukana...

Post zako zinaonesha anger , insults na hate...

Hoja hamna kabisa ....

The more you talk the more hate inajionesha..
Mimi na wewe nani ameongesha hate, wewe attacking the dead man isn't hate?

Mtu is dead and gone, he can do nothing, you attack him, halafu unasema mimi nimejaa hate, this is ridiculous.

Wewe ulikua na uwezo wa kujibu hoja ulishindwa nini ukaishia kumshambulia marehemu?

Tumia akili kidogo uliyonayo kujadili hoja.
 
Acha utaaahira wakati wa jiwe ulishapita mwambie huyo Rais mwenye Maumbile ya kike ajiamini! Kwanza akumbuke maumbile yake sisis hatuna shida nayo!

Watu walionyamaza kimya wakati wa jiwe..
Wakati watu wanapigwa risasi na kutekwa
Wanyamaze kimya na sasa..
Nawaheshimu mno watu waliokosoa utawala wa jiwe na wanakosoa utawala wa sasa..
But mijitu minafiki iliyonyamaza wakati watu wanatekwa na kuuwawa ..sasa inajifanya mabingwa wa kukosoa...kwangu naona wanafiki tu
 
Huku ndo Ku enjoy uhuru wa kukosoa.

Tumetoka mbali sana.

Samia anaweza kukosolewa na Carol Ndosi.

Wakati Magufuli hata Ayubu Rioba asingeweza kukosoa.

Great ..
Tujivunie nchi yetu kwa kweli..
Tumerudi kuwa civilised nation
Indeed
 
Mimi na wewe nani ameongesha hate, wewe attacking the dead man isn't hate?

Mtu is dead and gone, he can do nothing, you attack him, halafu unasema mimi nimejaa hate, this is ridiculous.

Wewe ulikua na uwezo wa kujibu hoja ulishindwa nini ukaishia kumshambulia marehemu?

Tumia akili kidogo uliyonayo kujadili hoja.

Hata Nyerere tuna mu attack humu na alishakufa....
Viongozi hujadiliwa hata baada ya kifo..
But wewe Una attack anaechangia hoja simply sababu kaongea tofauti na unacho amini....

Actually sijasema alichoongea Ndosi sio sahihi
Nimetazama angle ingine mbona hakuwahi kukosoa chochote wakati wa Magufuli?
Why anakosoa now?
Ohhh sababu Uhuru wa kukosoa umerudi?
Ohhh nani kaurudisha?Ohhh Samia....


There you are
 
Smart people they don't get emotional na kuanza personal insults
Watu wenye akili hujibu hoja bila kutukana...

Post zako zinaonesha anger , insults na hate...

Hoja hamna kabisa ....

The more you talk the more hate inajionesha..
Wewe tunakujua kazi yako kuzungumzia kifo cha magufuli na kushangilia kico chake! Hivi wewe huwa hauna ndugu wa karibu hujui kuwa hata leo unaweza kufa wewe au kufiwa na watu wako wa karibu! Unaonaga kuwa kila mtu anayemkosoa Rais wenu mwenye maumbile ya kike ni team Magufuli! Best akifanya ujinga lazima aambiwe! Kifo sni cha wote!
 
Mimi na wewe nani ameongesha hate, wewe attacking the dead man isn't hate?

Mtu is dead and gone, he can do nothing, you attack him, halafu unasema mimi nimejaa hate, this is ridiculous.

Wewe ulikua na uwezo wa kujibu hoja ulishindwa nini ukaishia kumshambulia marehemu?

Tumia akili kidogo uliyonayo kujadili hoja.
Halijafa jina mkuu,mi naona kurelate ni muhimu ili watu wajue walipotoka.Mbona nyerere bado anazungumziwa.
 
Hata Nyerere tuna mu attack humu na alishakufa....
Viongozi hujadiliwa hata baada ya kifo..
But wewe Una attack anaechangia hoja simply sababu kaongea tofauti na unacho amini....

Actually sijasema alichoongea Ndosi sio sahihi
Nimetazama angle ingine mbona hakuwahi kukosoa chochote wakati wa Magufuli?
Why anakosoa now?
Ohhh sababu Uhuru wa kukosoa umerudi?
Ohhh nani kaurudisha?Ohhh Samia....


There you are
Kwa akili yako wakati wa Maguguli mlikuwa hamkosoi? Hivi mtandaoni ulikuwepo wewe tu wengine hamkuwepo! Unataka kutuaminisha kana kwamba wakati wa magufuli mlizuiwa kutoa maoni yenu! Wewe ni stupid mkubwa!
 
Hata Nyerere tuna mu attack humu na alishakufa....
Viongozi hujadiliwa hata baada ya kifo..
But wewe Una attack anaechangia hoja simply sababu kaongea tofauti na unacho amini....

Actually sijasema alichoongea Ndosi sio sahihi
Nimetazama angle ingine mbona hakuwahi kukosoa chochote wakati wa Magufuli?
Why anakosoa now?
Ohhh sababu Uhuru wa kukosoa umerudi?
Ohhh nani kaurudisha?Ohhh Samia....


There you are
Nyerere anakua attacked humu lakini ulichokiandika kuhusu Magufuli sijawahi kuona mtu anakiandika kuhusu marehemu yeyote. Wewe unashangilia kufa kwa Magufuli.

Ndio maana nikakwambia mtu mwenye akili hawezi kushangilia kifo cha mwingine maana kifo ni obvious kila mtu atakufa, lini haijulikani.

Umesema marehemu ameshakufa hata umpambe vipi ameshakufa. Hii kauli tu inaonyesha wazi umejaa chuki dhidi ya marehemu.

Sijawahi kuona wanaomkosoa Nyerere ama mkapa humu waliokufa wakaandika hivyo.
 
Wabongo bwana,,,ki2 kidogo kinawakwaza. Mwanaume mzima unashindana na mwanamke!!!! Yanii inakukera kusema yeye ni mwanamke!!!!! Shame on you
 
Kwa akili yako wakati wa Maguguli mlikuwa hamkosoi? Hivi mtandaoni ulikuwepo wewe tu wengine hamkuwepo! Unataka kutuaminisha kana kwamba wakati wa magufuli mlizuiwa kutoa maoni yenu! Wewe ni stupid mkubwa!


Sasa umeona ulivyo wewe stupid?
Wakati wa Magufuli kuna mtu anaweza kumkosoa Magufuli kwenye TV?Tena EATv?

Sisi wa Jf anonymous ni Sawa na kipindi cha TV? Umesahau kesi alizopewa Maxence humu analazimishwa ataje I'd za watu humu wanaomkosoa Magufuli?..
Carol Ndosi aliwahi mkosoa Magufuli kwenye Tv?..


Umeona sasa nani stupid??
 
Tunao msapoti Samia tunajua kuna makosa atafanya ni ruksa kukosolewa..
Nyinyi mnae abudu Marehemu ndo kazi kwenu ..
Marehemu keshakufa hata mkimpamba ndo keshakufa
Ndugu mpaka leo mnajicha kwenye kivuli cha marehemu, ni muda wa kufanya kazi. Hizo comparison mnazozifanya hazisaidii nchi, kama marehemu aliharibu ni muda wa kuonyesha serikali mpya imefanya nini au inapaswa kufanya nini. Mambo ya kujificha kwenye msiba wa mtu ni utoto, suala la kufa ni la muda tu, sijui kama hujawah kufiwa? Ikiwa hujawahi kufiwa basi ndugu zako watakuja kufiwa ukiwa wewe upo chini ya futi sita kaburini. Ni suala la muda tu.
 
Back
Top Bottom