Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Udini unakusumbua tu wewe!Huku ndo Ku enjoy uhuru wa kukosoa.
Tumetoka mbali sana.
Samia anaweza kukosolewa na Carol Ndosi.
Wakati Magufuli hata Ayubu Rioba asingeweza kukosoa.
Great ..
Tujivunie nchi yetu kwa kweli..
Tumerudi kuwa civilised nation