wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Samia hajiamini na ndicho kitakachomfanya awe katili kwa hofu
Mfalme hakosolewiMwana harakati na Mjasiriamali carol Ndosi kupitia kipindi cha Joto Kali la Asubuhi TV-E ameweka wazi kukerwa kwake na kitendo cha Rais Samia kila anapopata nafasi kuongea na Watanzania basi lazima aseme kuwa yeye ni Rais mwanamke na yeye ni mwanamke. Amesema kuwa amekuwa akirudia mara kwa mara kila apatapo nafasi kuwa yeye ni mwanamke wakati kila mtanzania anajua kuwa yeye ni mwanamke.
Carol Ndosi anasema kuwa Rais Samia yeye ni Rais hapaswi kuendelea kujificha nyuma ya kimvuli cha uanamke kwani hilo si jambo zuri na haipendezi kwa Rais kuwa na hofu ya uanamke wake bali anatakiwa ajue watu wanamuamini kama Rais si kama mwanamke.
Amesema pengine Rais Samia anapitia mambo mengi kwenye chama chake au kwa watu wanaomzunguka kwa sababu ya uanamke wake lakini yeye kama Rais atakiwi kuitumia kama ngao kwani yeye ni Rais na watu wanajua ni mwanamke atakiwi kuwakumbusha watu, haipendezi.
Chanzo: TV-E/E-FM
Am i the only one feeling this is a lil harsh..
Sijui yani..
Mbona kama anamfokea Mama yetu?.
UongoCarol Ndosi ni opposition members
Ambae alikuwa anaogopa kujitokeza wakati wa jiwe..naona sasa ana launch her political career upya...
Huo Uhuru wako wa kujieleza unakusaidiaje ,,, kama unaowashauri hawazingatii wala kujali ushauri wako........Huku ndo Ku enjoy uhuru wa kukosoa.
Tumetoka mbali sana.
Samia anaweza kukosolewa na Carol Ndosi.
Wakati Magufuli hata Ayubu Rioba asingeweza kukosoa.
Great ..
Tujivunie nchi yetu kwa kweli..
Tumerudi kuwa civilised nation
Je Kama ataamua kutumia mamlaka aliyo nayo ndivyo sivyo ???Kwa katiba ya Tanzania hata ukimpa mtoto urais mtaendeshwa hovyo hovyo tu.
Hivyo usidhani mama ni dhaifu na anatumia kichaka cha jinsi.
Kuna namna anawakumbusha tu lakini si udahifu.
Mamlala aliyonayo yanatosha kabisa kuamua lolote na hakuna atakayeleta fyoko fyoko.
Huyu mbona muda tu anakosoa, hata jiwe alimkosoa na tena akaenda mbali kuandika waraka wa kusupport maandamano ya mange. Tafuta bandiko lake humu utaonaCarol Ndosi ni opposition members
Ambae alikuwa anaogopa kujitokeza wakati wa jiwe..naona sasa ana launch her political career upya...
Why haipendezi?Mwana harakati na Mjasiriamali carol Ndosi kupitia kipindi cha Joto Kali la Asubuhi TV-E ameweka wazi kukerwa kwake na kitendo cha Rais Samia kila anapopata nafasi kuongea na Watanzania basi lazima aseme kuwa yeye ni Rais mwanamke na yeye ni mwanamke. Amesema kuwa amekuwa akirudia mara kwa mara kila apatapo nafasi kuwa yeye ni mwanamke wakati kila mtanzania anajua kuwa yeye ni mwanamke.
Carol Ndosi anasema kuwa Rais Samia yeye ni Rais hapaswi kuendelea kujificha nyuma ya kimvuli cha uanamke kwani hilo si jambo zuri na haipendezi kwa Rais kuwa na hofu ya uanamke wake bali anatakiwa ajue watu wanamuamini kama Rais si kama mwanamke.
Amesema pengine Rais Samia anapitia mambo mengi kwenye chama chake au kwa watu wanaomzunguka kwa sababu ya uanamke wake lakini yeye kama Rais atakiwi kuitumia kama ngao kwani yeye ni Rais na watu wanajua ni mwanamke atakiwi kuwakumbusha watu, haipendezi.
Chanzo: TV-E/E-FM
Amemaliza teuzi?Huku ndo Ku enjoy uhuru wa kukosoa.
Tumetoka mbali sana.
Samia anaweza kukosolewa na Carol Ndosi.
Wakati Magufuli hata Ayubu Rioba asingeweza kukosoa.
Great ..
Tujivunie nchi yetu kwa kweli..
Tumerudi kuwa civilised nation
Naona unalia lia tu, wacha watu watoe maoni yao usiwatungie uongo ili kujiliwaza na umpendaye.Carol Ndosi ni opposition members
Ambae alikuwa anaogopa kujitokeza wakati wa jiwe..naona sasa ana launch her political career upya...