Wewe unaangalia short term, wenzako wanaangalia mbali, na Matokeo yanaonekana. Zamani ukiongelea support ya Israel Ulaya na Marekani tunaongelea almost 100% support, hawaulizi ila sasa hivi wanapata hio support? Imebaki wazee tu, Vijana wengi ambao wamezaliwa miaka 30-40 iliopita hawasuport Israel bila kujali rangi zao.
Unaweza ukasoma hii poll
Research from Morning Consult shows that favorable views of Israel have declined in 42 of 43 countries polled since the war in Gaza began.
time.com
Nchi kama Japan na Korea ambazo kikawaida zinasuport west ila support imeshuka vibaya mno kwa Israel.
Ukiangalia hizo nchi za South America zote ni pro palestine siku hizi, Tumeona Brazil na Colombia walivyopigana kuwatetea Palestina.
So hii ni trend inakua, taratibu pro palestine wanakngezeka, Ulaya sasa hivi wapo vulnerable, haya mataifa ya America Kusini na Asia yakiwa makubwa kiuchumi kupitia Ulaya Ofcourse nayo yatakua na say na kuweka vikwazo.