Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Hela haiwezi kununua ushawishi rafiki yangu ushawishi unanunuliwa na uwekezaji wa muda. Na uwekezaji mzuri wa muda ni mahusiano na elimu kitu ambacho Qatar hana. Unadhani wahindi au waarabu ndio waliosaidia Mo asiuliwe alipotekwa ? Mashindano ya mpira, magari, tennis yatasaidiaje katika ukombozi wa palestina ? FB, Twitter, Tiktok na youtube zitasaidia vipi kuwafanya Marekani na mataifa makubwa yasiisaidie Israel ? Naomba unijibu.
HIVI Usa Asingemsaidia Israel ana uwezo wa kupambana mwenyewe? Bila hizo hela Usa angeweza kusaidia? Kama huoni corelation baina ya hela na Vita rudi tu nyumbani mkuu, unacheza huko.
 
Wapalestina hawako kwenye system katika mataifa makubwa. Wapalestina walikuwa mbele ya wahindi, wachina na wakorea katika kupewa hifadhi Ulaya na Marekani. Lakini angalia against all odds wahindi ndio Ma CEO wa makampuni makubwa marekani. Wapalestina wakifika ulaya na marekani wanafanya biashara za kikuda badala ya kuinfiltrate system. C.E.O wa makampuni makubwa kama Adobe, Nvidia, Alphabet, Google na Microsoft wana influence kubwa katika serikali za first world countries. Wao wakifika Ulaya wanakazana na kujilipua na kukesha na swala tano kila siku.
Je Wabongo?
 
Sababu haujasoma Havard haimaanishi huna Elimu. Nchi nyingi hapo zinge tamani nazo ziwe na matajiri wengi kama waarabu.

Kuna watu wengi hawajasoma Havard na wamefanya uvumbuzi mkubwa mkubwa duniani
taja mf hizo nchi zenye wasomi wengi na hazina matajiri
 
Wao huwa hawaitaji elimu hiyo, Wana kitabu Chao kilichokisanya Mila zao na hypothetical stories za zamani na wao huamini kitabu hicho bacho kinasomwa anticlockwise kwamba ukimaliza kukisoma basi umefuzu elimu zote, tayari umekuwa daktari, mwanasheria, mwalimu engineer wa Kila aina ikiwepo wa computer. Lakini Cha kushangaza sioni hospitali za madaktari bingwa waliotokana na hicho kitabu zaidi ya kuuza mizizi ya kienyeji hasa ya kuongeza nguvu za kiume ili kuwakomoa mahururain wa duniani ( wake 4)
 
Wao huwa hawaitaji elimu hiyo, Wana kitabu Chao kilichokisanya Mila zao na hypothetical stories za zamani na wao huamini kitabu hicho bacho kinasomwa anticlockwise kwamba ukimaliza kukisoma basi umefuzu elimu zote, tayari umekuwa daktari, mwanasheria, mwalimu engineer wa Kila aina ikiwepo wa computer. Lakini Cha kushangaza sioni hospitali za madaktari bingwa waliotokana na hicho kitabu zaidi ya kuuza mizizi ya kienyeji hasa ya kuongeza nguvu za kiume ili kuwakomoa mahururain wa duniani ( wake 4)
 
Hela haiwezi kununua ushawishi rafiki yangu ushawishi unanunuliwa na uwekezaji wa muda. Na uwekezaji mzuri wa muda ni mahusiano na elimu kitu ambacho Qatar hana. Unadhani wahindi au waarabu ndio waliosaidia Mo asiuliwe alipotekwa ? Mashindano ya mpira, magari, tennis yatasaidiaje katika ukombozi wa palestina ? FB, Twitter, Tiktok na youtube zitasaidia vipi kuwafanya Marekani na mataifa makubwa yasiisaidie Israel ? Naomba unijibu.
Unadhani nani mediator wa wapalestina na israel ambae kafanikiwa hadi kutoa mateka wa israel?
Unadhani kwa nini major events za dunia kama michezo sasahivi yote inafanyika saudi arabia?
Unajua kwamba world leading airport heathrow sasahivi inamilikiwa na saudi arabia? Hela is almost everything my friend kwa dunia ya sasa othetwise utabaki kama professor lwaitamwa unatupigia kelele tu kama huna hela, ujiulizi mbowe hana elimu anawaongoza wajuaji wote wale wa chadema wasomi ila hawana kitu na hatoki milele uenyekiti hadi aamue yeye na familia yake
 
Wewe unaangalia short term, wenzako wanaangalia mbali, na Matokeo yanaonekana. Zamani ukiongelea support ya Israel Ulaya na Marekani tunaongelea almost 100% support, hawaulizi ila sasa hivi wanapata hio support? Imebaki wazee tu, Vijana wengi ambao wamezaliwa miaka 30-40 iliopita hawasuport Israel bila kujali rangi zao.

Unaweza ukasoma hii poll

Nchi kama Japan na Korea ambazo kikawaida zinasuport west ila support imeshuka vibaya mno kwa Israel.

Ukiangalia hizo nchi za South America zote ni pro palestine siku hizi, Tumeona Brazil na Colombia walivyopigana kuwatetea Palestina.

So hii ni trend inakua, taratibu pro palestine wanakngezeka, Ulaya sasa hivi wapo vulnerable, haya mataifa ya America Kusini na Asia yakiwa makubwa kiuchumi kupitia Ulaya Ofcourse nayo yatakua na say na kuweka vikwazo.
Ninatumia nguvu kubwa sana kukuelewesha wapalestina hawapo kwenye system ? Kuna wahindi ni mawaziri Canada hadi waziri mkuu wa uingereza ana asili ya India. Kulikoni wapalestina na waarabu ? South wana influence gani katika dunia wapo katika nchi nane zenye uchumi wa juu duniani ? Wayahudi wapo katika serikali zote zilizopo katika G8. Wayahudi wapo hadi katika serikali ya Urusi.Wananchi hawapangi maamuzi ya marekani ingekuwa hivyo Marekani isingevamia Iraq na Afghanistan. Kuna taarifa hauwezi kuzipata kwa sababu haupo ground. Nipo Ujerumani na ninafuatilia siasa za Ujerumani na Umoja wa Ulaya. Na Ujerumani ndio nchi yanye uchumi mkubwa katika umoja wa Ulaya.Ni sawa sawa na Mzungu abishane na wewe uliyepo Tanzania kuhusu serikali ya Tanzania wakati yeye hajui kiswahili na habari zote anazipata kwa kiingereza.
 
taja mf hizo nchi zenye wasomi wengi na hazina matajiri
Msomi ni nani? Let's assume ukiwa na degree wewe ni msomi, hizi ndio nchi ambazo zinaongoza kuwa na degree

Screenshot_20240309-192339_Pixel Launcher.png


Hapo kuna Mongolia, Kazakhstan, Georgia ni Nchi za kawaida kabisa na hazitofautiani sana na za Africa.

Hata sisi tunaenda huko huko, degree siku hizi Kitu cha kawaida Tanzania, Malaki wana graduate soon tutakuwa na wasomi kibao hali ya kuwa ni masikini.
 
Unadhani nani mediator wa wapalestina na israel ambae kafanikiwa hadi kutoa mateka wa israel?
Unadhani kwa nini major events za dunia kama michezo sasahivi yote inafanyika saudi arabia?
Unajua kwamba world leading airport heathrow sasahivi inamilikiwa na saudi arabia? Hela is almost everything my friend kwa dunia ya sasa othetwise utabaki kama professor lwaitamwa unatupigia kelele tu kama huna hela, ujiulizi mbowe hana elimu anawaongoza wajuaji wote wale wa chadema wasomi ila hawana kitu na hatoki milele uenyekiti hadi aamue yeye na familia yake
Hizo hela wanazitoa kwa kumuuzia nani mafuta ? Influence ni muhimu kuliko hela ndugu yangu . Nimekwambia kama waarabu wana hela na influence wangewafukuza Marekani katika nchi zao ? Nimeshakuelezea kuwa Marekani wana kambi katika nchi zao kibao. Marekani wali-influence mpaka Ufalme wa Saudia akaridhi mtu ambaye ana ukaribu na Marekani. Fuatilia nani ilibidi arithi Ufalme wa Saudia baada ya Salman bin Abdulaziz Al Saud kuaga dunia ? Tanzania hatuwezi kuendelea kwa sababu hatuithamini elimu. Mtu kama Makonda ana elimu ya kuunga ya form four anakaa katika kamati kuu ya kufanya maamuzi ya nchi are we serious ? Katika Tanzania ya leo utamhimizaje mwanao akazane na shule ? Ndio maana Viongozi wengi wa serikalini watoto wao hawaoni umuhimu wa shule. Na ukiangalia kina Mo na Bakhresa ni mabilionea lakini mishahara wanayolipa wafanyakazi wao inaendana na hadhi yao ? Tunahangaika na uhaba wa dola nchini wakati walioshikilia uchumi wamepanga Upanga na wana familia zao uarabuni na India. Mtu ukoo wake na ndugu zake wapo India na Upanga kwa nini awekeze faida yake yote Tanzania ? Kuna interview ya Mo huko youtube ametangaza kuwa ameshahamia U.A.E na anakuja Afrika mara moja kwa mwezi. Elimu ni kila kitu namshukuru Mungu sikukata tamaa na shule sijafika hapa kwa uwezo wangu. Kuna kipindi ilibaki kidogo niachane na taaluma niingie katika biashara.
 
Nakumbuka miaka 40 iliyopita niliishi huko na ninawajua vizuri sana waarabu
Kweli hawakuwa wanasoma sana na hata wanaofeli walikuwa wanapewa kazi kama fire na police lakini wanaanza na vyeo vya nyota jeshini, polisi nk
Zima moto walikuwa wwnafanya kazi siku 3 na siku 9 wanalala na wanalipwa mishahara minono ya mwezi mzima

Wazawa kwenye nchi za mafuta walikuwa wanadekezwa sana kwa ajili ya hela za mafuta na ni nyingi sana

Nyumba walikuwa wanapewa hela wajenge na walipe hela ndogo sana sana na akifa hana deni
Ila sasa Dunia imebadilika sana na kwa miaka zaidi ya 20 wanawatuma watoto wao wasome katika vyuo vikubwa duniani ili washike nyadhifa walizosomea
Ila zamani walikuwa wanapewa majukumu kisa ni mwenye nchi hata kama hajui moja kujumlisha moja

Leo kwa mfano Oman wana Nationalization na wasomi wameongezeka sana na kushika nyadhifa kubwa tu
Havard sio chuo pekee duniani ila wanasoma siku hizi
Naona Africa nchi moja tu
 
Unadhani nani mediator wa wapalestina na israel ambae kafanikiwa hadi kutoa mateka wa israel?
Unadhani kwa nini major events za dunia kama michezo sasahivi yote inafanyika saudi arabia?
Unajua kwamba world leading airport heathrow sasahivi inamilikiwa na saudi arabia? Hela is almost everything my friend kwa dunia ya sasa othetwise utabaki kama professor lwaitamwa unatupigia kelele tu kama huna hela, ujiulizi mbowe hana elimu anawaongoza wajuaji wote wale wa chadema wasomi ila hawana kitu na hatoki milele uenyekiti hadi aamue yeye na familia yake
Fallacy arguments
Unaweza kuwa na hela Ila Kama kichwani una funza hufiki popote
Ndo maana Saudi Arabia wanasomesha watu havard wanajua umuhimu wa elimu na siyo kuhifadhi juzuu tu!
 
Ninatumia nguvu kubwa sana kukuelewesha wapalestina hawapo kwenye system ? Kuna wahindi ni mawaziri Canada hadi waziri mkuu wa uingereza ana asili ya India. Kulikoni wapalestina na waarabu ? South wana influence gani katika dunia wapo katika nchi nane zenye uchumi wa juu duniani ? Wayahudi wapo katika serikali zote zilizopo katika G8. Wayahudi wapo hadi katika serikali ya Urusi.Wananchi hawapangi maamuzi ya marekani ingekuwa hivyo Marekani isingevamia Iraq na Afghanistan. Kuna taarifa hauwezi kuzipata kwa sababu haupo ground. Nipo Ujerumani na ninafuatilia siasa za Ujerumani na Umoja wa Ulaya. Na Ujerumani ndio nchi yanye uchumi mkubwa katika umoja wa Ulaya.Ni sawa sawa na Mzungu abishane na wewe uliyepo Tanzania kuhusu serikali ya Tanzania wakati yeye hajui kiswahili na habari zote anazipata kwa kiingereza.
Wahindi wana influence gani? Kuwepo kwao kwenye hizo nchi kumewasaidia nini? Tatizo lenu mnakariri sana. Huyo Waziri mkuu Wa Scotland si Ana familia Palestina amesaidia nini? We all know wanasiasa wa west wapo gama geresha viongozi wa hizo nchi sio wanasiasa, wayahudi wana mahusiano Na Viongozi halisi wa hizo nchi kina Rothschild na sio hao viongozi hewa.

Unapambana vipi na kina Rothschild? Palestina akiwa waziri mkuu ataweza kukomesha vita ama atakua waziri mkuu hewa? Jibu unalo.

Ndio maana unaona Wapalestina walienda South na sio North, sababu wewe unaangalia kivuli chako kilipoishia huwezi elewa mkuu, angalia mbali, nchi za South America sasa hivi zinakuwa kwa kasi mno, zimeshapita nchi za Ulaya mashariki kina Ukraine, Georgia etc hawajafikia uchumi wa west ila wapo karibu, Same kwa Asia Kina China, Vietnam, Malyasia, Indonesia, Thailand etc wote hawa Wanakua. Baada ya miaka 20-30 baadae wote hawa watakua na say ya kitu gani kifanyike duniani na wazungu wa Ulaya na Marekani itabidi wasikilize.
 
Hizo hela wanazitoa kwa kumuuzia nani mafuta ? Influence ni muhimu kuliko hela ndugu yangu . Nimekwambia kama waarabu wana hela na influence wangewafukuza Marekani katika nchi zao ? Nimeshakuelezea kuwa Marekani wana kambi katika nchi zao kibao. Marekani wali-inluence mpaka Ufalme wa Saudia akaridhi mtu ambaye ana ukaribu na Marekani. Fuatilia nani ilibidi arithi Ufalme wa Saudia baada ya Salman bin Abdulaziz Al Saud kuaga dunia ?
Mkuu jua kwamba kwenye hii dunia tunategemeana kuna wenye technology , kuna wenye hela kuna wenye nguvu kazi etc
Hivi unadhani marekani anatoa zile greencard kwa kuwa anatupenda sana?
Likewise tajiri ana hela ila anahitaji wafanyakazi huoni bakhressa wazungu walivyojaa ana akili na sio vyeti ndio maana anjua wapi amuweke nani.
Unajua kwamba emirates so far one of the best airline duniani ceo ni mzungu , yes vyeti is for working class.
 
Fallacy arguments
Unaweza kuwa na hela Ila Kama kichwani una funza hufiki popote
Ndo maana Saudi Arabia wanasomesha watu havard wanajua umuhimu wa elimu na siyo kuhifadhi juzuu tu!
Ukiwa na akili huitaji vyeti mkuu vyeti ni kwa ajili ya kuajiriwa tu, hao unaosema hawana akili ukiangalia walipotoka na sasa na wanapoelekea utaona huyo mwenye vyeti keshasalimu amri
Hakuna aliyeamini kwamba kuna siku muarabu atakuwa mmiliki wa leading airport duniani yani heathrow.
Hakuna aliyeamini kwamba all major events duniani zitafanyika uarabuni, ngumi za joshua na zote kumbwa zimefanyika uarabuni.
Hakuna aliyeamini kwamba world best player ronaldo angecheza uarabuni na wengine wakafuata.
AKili na vyeti ni vitu viwili tofauti , gsm na bakhressa wanacontrol uchumi wa nchi yako na hawana vyeti ila wana akili
 
Ukiwa na akili huitaji vyeti mkuu vyeti ni kwa ajili ya kuajiriwa tu, hao unaosema hawana akili ukiangalia walipotoka na sasa na wanapoelekea utaona huyo mwenye vyeti keshasalimu amri
Hakuna aliyeamini kwamba kuna siku muarabu atakuwa mmiliki wa leading airport duniani yani heathrow.
Hakuna aliyeamini kwamba all major events duniani zitafanyika uarabuni, ngumi za joshua na zote kumbwa zimefanyika uarabuni.
Hakuna aliyeamini kwamba world best player ronaldo angecheza uarabuni na wengine wakafuata.
AKili na vyeti ni vitu viwili tofauti , gsm na bakhressa wanacontrol uchumi wa nchi yako na hawana vyeti ila wana akili
Hivyo vitu vitasaidia ninikatika kuikomboa Palestina ?
 
Back
Top Bottom