Neno dini kwa Kiswahili linatokana na neno "din" kwa Kiarabu ambalo kwa Kiswahili huwezi kulitagsiri kwa neno moja, kwa kulifafanua lina maanisha "njia ya mfumo wa maisha".
Kabisa mkuu, !!Naam.
Bado sijajibiwa.
Narudia.
Kwani kuoa lazima?
Huyo Yesu mwenyewe hakuna rekodi kwamba alioa, sasa utalazimishaje wafuasi wake waoe?
Kafiri mkweo1. Ndoa za Kikafiri ni pingu. Once ukiingia, kutoka kuna complications kishenzi!
2. Gharama gharama gharama. Kuanzia mahari, harusi yenyewe.
3. Uzinifu kwa kijana Kafiri ni kama kunywa maji tu.
Njia naziona kila siku.Tukuonyeshe njia??au tukuache na ujinga wako uzeeke nao??
Njia naziona kika siku.
Jifunze wewe njia ya mfumo wa maisha...
Qur'an 3:5
...Leo nimekukamilishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAM uwe ndiyo Dini...
Sisi tunaoa hata mara 3 kwa week siyo issue kama nyieNa hapa nazungumzia hasa vijana wa chini ya miaka 30 ambao ni umri uliozoeleka kwa kijana kuoa na kupata mtoto ndani ya ndoa.
Nikiangalia niliohitimu nao chuo degree, rika letu kwa sasa ni miaka 32 hadi 33, vijana wote wa kiislam walishaoa mapema kabla hawajavuka miaka 28, huku kwa wakristo hadi sasa ni asilimia 50 tu waliooa, wasio na ndoa wapo wenye watoto huku kwenye suala la mahusiano kubadili wanawake kwao ni kula ujana.
Shirika nililoajiriwa huwa kuna muda nasupervise matawi tofauti tofauti hata ya mikoa ya karibu, imekuwa ni kawaida sana kukuta vijana wa kiislam kuwakuta tayari wameshaoa lakini kwa upande wa vijana wa kikristo utawakuta waliooa ni watano kato ya kumi.
Umeweka namba hizo zinasaidia nini?John 14:6,achana na njia za mchongo kutoka pangoni.
Top ten richest people in Tanzania wote ni MuslimsMafanikio ya kiuchumi then ndoa. Si kujaza mijitu halafu wezi wajae street.
Hiyo ni kweli wakiristo hasiri yenu sio ndio mfano paulo hakuoa mapapa wote wanakufa bila ndio mapadire nao wanaishi bila wake lakini mitaani wanatembeza kichapo kwa makahabaKabisa kila mtu ana mipango yake na ujui anapitia tatizo gani mtu una ajira/kipato utaoaje.Cost za ndoa za kikirsto sio mchezo ila za kislam ni chap.
Kafiri anazini na kafiri mwenzieBrother vp Kwa wale ambao unakuta wanadate mkaka mkristo na mdada ni wa dini ya haki?
Nshawahi date na mdada familia yao ni dini ya mnyazi mungu nlikuwa napata non stop supply of utelezi through out the year, kipind Cha mwezi mtukufu mchana anakuja geto anapika nakula then nakula, tuliishi hvo Kwa miaka 6
Umeweka namba hizo zinasaidia nini?
Hiyo ni kweli wakiristo hasiri yenu sio ndio mfano paulo hakuoa mapapa wote wanakufa bila ndio mapadire nao wanaishi bila wake lakini mitaani wanatembeza kichapo kwa makahaba
Imani si muhimu, kwa sababu kila mtu ana uhuru wa kukubali imani yoyote iliyopo, au hata kuanzisha yake.Kabisa mkuu, !!
Hapa umenikumbusha Jambo.
Waasisi wa hizi dini pia walikuwa/Wana mlengo tofauti katika suala zima la kuoa.
Wakati muasisi wa uislaam Mohammed SAW akihimiza kuoa kwa vitendo, yaani yeye mwenyewe kuwa champion wa kuoa hata kuonesha jamii kuwa ' age is just a number' kwa kuoa binti wa miaka tisa, Mambo ni tofauti upande wa ukristo , Yesu mwenyewe hakuoa, na hata mafundisho yaliyofuta baada yake Bado yalionesha kwamba kuoa si Jambo la lazima, na pengine imeelezwa kwamba ni Bora mtu asioe ili awe na muda wa kutosha kutekeleza maagizo ya muumba wake.
Hapa ndani Kuna kampeni ya kataa ndoa, hebu tuanzie hapa kupata data Hawa waungaji mkono kampeni hi ni watu wa imani gani?
Wakirito wako dawati la jinsia wakidai talaka mahakamani usisema wanatengana viumba mpaka wanachoka mwisho mahakamaniSababu ni hii:
"Mpaka kifo kitutenganishe".
Yaani unalazimishwa kuishi na lijitu jingajinga maisha yako yote.
Mmh as if nyie hamzini, na ni malaika😏, kuzini na dini ya mtu vinahusianaje?1. Ndoa za Kikafiri ni pingu. Once ukiingia, kutoka kuna complications kishenzi!
2. Gharama gharama gharama. Kuanzia mahari, harusi yenyewe.
3. Uzinifu kwa kijana Kafiri ni kama kunywa maji tu.
Kuwaje nusu ya dini? Kuwaje nusu ya uislamu?Kwa mafundisho ya Kiislam, ndoa ni nusu ya dini.
Hakuna neno ambalo halina tafsiri...Acha janjajanja wewe. Kila neno lina tafsiri Ndio maana kuna kitu kinaitwa KAMUSI/DICTIONARY.Neno dini kwa Kiswahili linatokana na neno "din" kwa Kiarabu ambalo kwa Kiswahili huwezi kulitagsiri kwa neno moja, kwa kulifafanua lina maanisha "njia ya mfumo wa maisha".
Boma yee Boma liwanzaMfungo umeisha, tutawaona wengi sana humu na nyuzi za kuponda ukristo, tuwazoee tu mwezi wao wa kutenda matendo mema umesiha sasa wanarudi kwenye uhalisia wao
Bro ni umeuliza swali lakin kama vile una marking scheme yako kichwani. Kila unachoelezwa unajibu has nothing to do with Christianity.HAKUNA KITU KAMA HICHO KWENYE UKRISTO!!! Wewe unachanganya na mambo ya makabila na mila za makabila!!! Huo SIYO UKRISTO. Mambo ya mablankenti ya sijui bibi shangazi has NOTHING TO DO WITH CHRISTIANITY
Si ninekupa maana yake, au huelewi kusoma?Hakuna neno ambalo halina tafsiri...Acha janjajanja wewe. Kila neno lina tafsiri Ndio maana kuna kitu kinaitwa KAMUSI/DICTIONARY.
Tafsiri ya maneno yote hupatikana kwenye dictionary/kamusi.
Neno Dini/Religion lipo kwenye kamusi na lina maana yake.
Dictionary yako ndio inasema "Dini ni mfumo wa maisha"? Ni dictionary ya msikitini au ya wapi?
Niwekee hapa Maana ya neno DINI/RELIGION kutoka kwenye DICTIONARY/KAMUSI.