Case Study: Ni nadra sana kukuta kijana wa kiislam hajaoa lakini inazidi kuwa kawaida kumkuta kijana wa kikristo anakwepa ndoa, Nini chanzo ?

Majority wanoa kwa pennies tu, hilo linafanya ndoa nyingi za kiislam kuwa rahisi, hata kuachana pia rahisi tu. Ukiona familia ya kiislam baba na mama tangu ujanani ni nadra sana, wengi wanaachana, wanaoa na kuolewa tena, yaani tafrani.
Ht wakristo wengi tu wanatengana...then kila mmoja anatafuta wa kuzini nae...maisha yanaendelea

Ila pia inategemea na mahali ulipo, kila mtu anatumia references zake. Huku kwetu raha tu, hakuna makasiriko.
 
Kivumbi leo.Ni mlolongo tu wa mambo sasa mtu anataka mc awe GaraB hela zinatoka wapi .Nilimwambia mama G tunatoka na huu mtoko alinuna mwezi mzima.View attachment 2623908
🤣🤣🤣Na hivyo ndo vyeti vya ndoa mmeshikilia? mbona we umevaa smart ye Yuko na mgauni normal Sana🤔ungemtafutia dress Kali na heels za kufa mtu asingenuna.
 
Kinachokwamisha vijana wa kikristo kuoa ni mahari tu unaambiwa simple tu utoe mahari mil 3 ?
Kwa waislamu elfu 50 tu unachukua jiko
Hiyo mahali bali ni mali,mahari sio pesa wala haina kiwango chochote hatakacho hitaji muolewaji toka kwa muoaji kadiri ya uwezo wake ndio mahari

Hiweje kijana fukara wazazi wamwambie m3 hiyo ni tabia ya kukomaza zinaaa
 
Muhammad alikuwa ana miaka 50 alivyooa mtoto wa miaka 9. Angalia pande mbili za story. Umeshawahi mskia demu wa kikristro anaolewa ana miaka 9
 
Muislam jina tu huyo...waislam wa bongo, bongo kumshinda shetani na vituko vyake sio kazi nyepesi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nlikula nae maisha sana na alikua huru sana kwangu, alikua akinambia nimpelekee chipsi kuku nampelekea anapumzika nusu saa au lisaa baada ya hapo hyo miuno sasa
 
Kuachana kupo pote pote usijidanganye, tena wa kristo wanaachana kwa fujo na hasara linalo sababisha wengi wa chukie kuoa tena.
 
Waislamu hawanaga longolongo na uzungu mwingi
 
Angel bernard kaachwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…